IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,143
- 3,772
Kwa kuwa hii sheria imeshaanza kutumika sioni sababu ya kumfumbia macho huyu Balali wa Twitter.
Tunajua Balali ameshakufa, sasa anachokifanya huyu wa Twitter ni upotoshaji na kama mtanyamaza basi nitaamini kuwa Daudi Balali yupo hai.
Fanyeni tracking zenu, huyu anahatarisha amani ya nchi.
Tunajua Balali ameshakufa, sasa anachokifanya huyu wa Twitter ni upotoshaji na kama mtanyamaza basi nitaamini kuwa Daudi Balali yupo hai.
Fanyeni tracking zenu, huyu anahatarisha amani ya nchi.