TCRA: Kuanzia Desemba 2019, mtu atahitaji king’amuzi kimoja tu kuona chaneli za bure na za kulipia

idawa

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
25,284
38,314
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wametangaza kuja na king'amuzi kitakachoonyesha chanel za bure tu nchini.

Hata hivyo wamefafanua kuwa kama utataka kuona chaneli za kulipia kutakua na sehemu ya kuwekea kadi ambapo utaweka kadi ya ving'amuzi vya Dstv ama azam.

Kifupi hivyo ving'amuzi vitakuwa sawa na unavyobadili laini za simu kwenye simu yako


Kwa wataalam wa seteliti itawezekana, au tujiandae na kugeuza madishi kila wakati?
 
This is not practical...

1. Azam, Zuku, DSTV etc etc hawa wote hawapo satelaiti moja, kuwa na kisimbusi kimoja ina maana mtu mmoja itamlazimu kuwa na utitiri wa madishi, labda kama serikali kupitia TCRA wapo tayari kuwa na MUx katika satelaiti moja pekee...

2. Itawezekana kama kutakuwa na makubaliano ya kibiashara baina ya content providers yaani hao kina Azam, Multichoice, Zuku etc
 
Kweli chief
 
Kwa hiyo hapa TCRA umewaelewa vipi , au tufanye ni siasa tu wanatupiga.
 



Brilliant
 
Kwa hiyo hapa TCRA umewaelewa vipi , au tufanye ni siasa tu wanatupiga.
Imenilazimu kuifuata hiyo post twitter ili nisikie toka katika hiyo video maelezo zaidi na haya uliyoyaandika...

Huyo mzee anaelezea idea yao ni cccam (card sharing), kwa maana hiyo TCRA watakuwa na server or else kutakuwa na kampuni itayokuwa na cccam server (content provider), halafu watumiaji watakuwa na receiver(hizo ambazo TCRA wamezitaja) zenye emulator ya kufanya decoding...

Hivyo hapa linakuja suala la utumiaji wa internet, kwa sababu ni kitu cha server-client mode
 

Day pipe dream
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…