Kweli chiefThis is not practical...
1. Azam, Zuku, DSTV etc etc hawa wote hawapo satelaiti moja, kuwa na kisimbusi kimoja ina maana mtu mmoja itamlazimu kuwa na utitiri wa madishi, labda kama serikali kupitia TCRA wapo tayari kuwa na MUx katika satelaiti moja pekee...
2. Itawezekana kama kutakuwa na makubaliano ya kibiashara baina ya content providers yaani hao kina Azam, Multichoice, Zuku etc
Kwa hiyo hapa TCRA umewaelewa vipi , au tufanye ni siasa tu wanatupiga.This is not practical...
1. Azam, Zuku, DSTV etc etc hawa wote hawapo satelaiti moja, kuwa na kisimbusi kimoja ina maana mtu mmoja itamlazimu kuwa na utitiri wa madishi, labda kama serikali kupitia TCRA wapo tayari kuwa na MUx katika satelaiti moja pekee...
2. Itawezekana kama kutakuwa na makubaliano ya kibiashara baina ya content providers yaani hao kina Azam, Multichoice, Zuku etc
Jamaa unadhani kaelewa basi...Kwa hiyo hapa TCRA umewaelewa vipi , au tufanye ni siasa tu wanatupiga.
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wametangaza kuja na king'amuzi kitakachoonyesha chanel za bure tu nchini.
Hata hivyo wamefafanua kuwa kama utataka kuona chaneli za kulipia kutakua na sehemu ya kuwekea kadi ambapo utaweka kadi ya ving'amuzi vya Dstv ama azam.
Kifupi hivyo ving'amuzi vitakuwa sawa na unavyobadili laini za simu kwenye simu yako
Kwa wataalam wa seteliti je itawezekana, au tujiandae na kugeuza madishi kila wakati.
.https://twitter.com/swahilitimes/status/1172559250717106176?s=19
Usisifie sana mkuu lolote laweza tokea huijui hii nchi mpaka leo!!!?Safi Sana,. Haya ndio mambo kama taifa inabidi kufanya.
Hongera Sana, vizuri kabisa.
Jamaa unadhani kaelewa basi...
Unapongeza maneno. Ngoja vitendo mkuuKwa mara ya kwanza nawapongeza TCRA
Ata wasipo leta vingamuzi lakini wazo ni zuri wana stahili pongeziUnapongeza maneno. Ngoja vitendo mkuu
angalia tbc ili kodi yako itumike kihalali.Tibisii wasiiweke bana
Imenilazimu kuifuata hiyo post twitter ili nisikie toka katika hiyo video maelezo zaidi na haya uliyoyaandika...Kwa hiyo hapa TCRA umewaelewa vipi , au tufanye ni siasa tu wanatupiga.
TBC au tibisii hihii tunayoijua?angalia tbc ili kodi yako itumike kihalali.
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wametangaza kuja na king'amuzi kitakachoonyesha chanel za bure tu nchini.
Hata hivyo wamefafanua kuwa kama utataka kuona chaneli za kulipia kutakua na sehemu ya kuwekea kadi ambapo utaweka kadi ya ving'amuzi vya Dstv ama azam.
Kifupi hivyo ving'amuzi vitakuwa sawa na unavyobadili laini za simu kwenye simu yako
Kwa wataalam wa seteliti je itawezekana, au tujiandae na kugeuza madishi kila wakati.
.https://twitter.com/swahilitimes/status/1172559250717106176?s=19
Kwa mara ya kwanza nawapongeza TCRA