Ina maana TCRA mlitudanganya Watanzania mchana kweupe "TCRA yaja na suluhisho la utitiri wa Ving'amuzi."

babayao255

JF-Expert Member
Apr 4, 2019
11,119
27,201
Mwaka 2019 mlituambia hivi.


"TCRA yaja na suluhisho la utitiri wa Ving'amuzi.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba aliliambia gazeti hili jana kuwa kabla ya mwaka huu kuisha, mfumo wa ving’amuzi utabadilika na badala yake wateja wataweza kutumia king’amuzi kimoja kupata matangazo yoyote ya vituo vya televisheni.

Mteja hatalazimika kuwa na ving’amuzi (decorder) nyingi bali atalazimika kununua kadi ya kituo cha televisheni anachotaka na king’amuzi hicho kipya kitaweza kumpa matangazo hayo."

“Siwezi kusema hili litafanyika mpaka lini, lakini kabla ya mwaka huu kwisha litakuwa limefanyika,” alisema mkurugenzi huyo.

“Hili jambo ni mchakato, lazima ushirikishe wadau na wao waridhie. Ukisema uliharakishe utaharibu soko.”

Sasa ni mwaka 2021 hatuoni mlicho tuahidi mwaka 2019



Soma zaidi >>> TCRA: Kuanzia Desemba 2019, mtu atahitaji king’amuzi kimoja tu kuona chaneli za bure na za kulipia
 
Mwaka 2019 mlituambia hivi.


"TCRA yaja na suluhisho la utitiri wa Ving'amuzi.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba aliliambia gazeti hili jana kuwa kabla ya mwaka huu kuisha, mfumo wa ving’amuzi utabadilika na badala yake wateja wataweza kutumia king’amuzi kimoja kupata matangazo yoyote ya vituo vya televisheni.

Mteja hatalazimika kuwa na ving’amuzi (decorder) nyingi bali atalazimika kununua kadi ya kituo cha televisheni anachotaka na king’amuzi hicho kipya kitaweza kumpa matangazo hayo."

“Siwezi kusema hili litafanyika mpaka lini, lakini kabla ya mwaka huu kwisha litakuwa limefanyika,” alisema mkurugenzi huyo.

“Hili jambo ni mchakato, lazima ushirikishe wadau na wao waridhie. Ukisema uliharakishe utaharibu soko.”

Sasa ni mwaka 2021 hatuoni mlicho tuahidi mwaka 2019



Soma zaidi >>> TCRA: Kuanzia Desemba 2019, mtu atahitaji king’amuzi kimoja tu kuona chaneli za bure na za kulipia


Mkuu na ww waliposema hivyo uliwaamini?
 
Sikuwaamini kwa sababu pale TCRA ni maneno mengi vitendo sifuri.
ALIKIWA KWENYEBPROCESS ILA WAFANYABIASHARA WA VINGAMUZI HAWAKUTAKA..NAKWAKUWA ******** NDO ALITAKA HAYO MABADILIKO BASI BAADA YABKUFARIKI..SERIKALI IMETUPILIA MBALI..SIUNAJUA WENYE FEDHA KWA INFLUENCE
 
Sikuwaamini kwa sababu pale TCRA ni maneno mengi vitendo sifuri.
Umesahau ya kutumia simcard 1 namba 1 kwa mitandao yote bila kununu laini za mitandao tofauti? Toka kipindi hicho siwaamini tena
 
Umesahau ya kutumia simcard 1 namba 1 kwa mitandao yote bila kununu laini za mitandao tofauti? Toka kipindi hicho siwaamini tena
Walisema wana mpango wa kufungua kiwanda cha kuunda simu za mkononi...ngoja tuone.
 
Mwaka 2019 mlituambia hivi.


"TCRA yaja na suluhisho la utitiri wa Ving'amuzi.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba aliliambia gazeti hili jana kuwa kabla ya mwaka huu kuisha, mfumo wa ving’amuzi utabadilika na badala yake wateja wataweza kutumia king’amuzi kimoja kupata matangazo yoyote ya vituo vya televisheni.

Mteja hatalazimika kuwa na ving’amuzi (decorder) nyingi bali atalazimika kununua kadi ya kituo cha televisheni anachotaka na king’amuzi hicho kipya kitaweza kumpa matangazo hayo."

“Siwezi kusema hili litafanyika mpaka lini, lakini kabla ya mwaka huu kwisha litakuwa limefanyika,” alisema mkurugenzi huyo.

“Hili jambo ni mchakato, lazima ushirikishe wadau na wao waridhie. Ukisema uliharakishe utaharibu soko.”

Sasa ni mwaka 2021 hatuoni mlicho tuahidi mwaka 2019



Soma zaidi >>> TCRA: Kuanzia Desemba 2019, mtu atahitaji king’amuzi kimoja tu kuona chaneli za bure na za kulipia

kwa hiyo wanangu tumepigwa?
 
Back
Top Bottom