idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,305
Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA wametangaza kuja na king'amuzi kitakachoonyesha chanel za bure tu nchini.
Hata hivyo wamefafanua kuwa kama utataka kuona chaneli za kulipia kutakua na sehemu ya kuwekea kadi ambapo utaweka kadi ya ving'amuzi vya Dstv ama azam.
Kifupi hivyo ving'amuzi vitakuwa sawa na unavyobadili laini za simu kwenye simu yako
Kwa wataalam wa seteliti itawezekana, au tujiandae na kugeuza madishi kila wakati?
Hata hivyo wamefafanua kuwa kama utataka kuona chaneli za kulipia kutakua na sehemu ya kuwekea kadi ambapo utaweka kadi ya ving'amuzi vya Dstv ama azam.
Kifupi hivyo ving'amuzi vitakuwa sawa na unavyobadili laini za simu kwenye simu yako
Kwa wataalam wa seteliti itawezekana, au tujiandae na kugeuza madishi kila wakati?