Jamani tasnia ya habari imepotoka kana kwamba hakuna tena uangalizi wala uhariri wa habari kabla ya kuruswa hewani. Sikiliza vituo vingi vya redio mida ya asubuhi, ni kitchen part discussions. Mambo ambayo kwa kweli huwezi kukaa na mtoto ama mzazi ukasikiliza.
Hivi ndio tumekosa mambo mengine ya kujadili. Ni unyumba na mapenzi tu kila siku. Terrible!
Hivi ndio tumekosa mambo mengine ya kujadili. Ni unyumba na mapenzi tu kila siku. Terrible!