(TCAA) usalama wa anga kunani?

yule mama kaajiri mabomu katika ngazi ya juu ya utawala, yaani mkurugenzi wa utumishi ,pamoja afisa mkuu wa utawala wote ni maboya pale hawafanyi chochote cha kuwa motisha wafanyakazi zaidi ya kuhangaika na ngono za kulazimisha kwa wafanyakazi, bahati mbaya mkurugenzi ruhongole na afisa utawala vyamana ni waha wa kigoma na bahati mbaya zaidi tabia zao zinafanana, wana roho mbaya kwa wafanyakazi, wanaupendeleo katika mambo mbalimbali zikiwemo ajira, si wabunifu wa kuboresha maisha ya wafanyakazi, wao wanasubiri waambie habari ya kubana matumizi hapo umewafikisha kuhalalisha roho mbaya, wanapenda kunyenyekewa hasa na watoto kike, wana karibu miaka mitano hakuna hata kimoja walicho buni na ku implement chenye manufaa kwa wafanyakazi ambacho wafanyakazi watakuwa wanakumbuka .

Kwa kifupi toka walipoingia hawa jamaa maisha ya wafanyakazi yakaanza kuwa mabaya , thamani ya tcaa na kujivuna kwetu ndipo ilipofikia tamati, huyu bibie munyagi muda wake wakustaafu umefika sasa anaangalia mambo yake aviation house huku ana haha aongezewe contract aendelee kufaidi, kwa hiyo hana muda wakushughurikia kero za wafanyakazi, bodi nayo ikishalamba posho basi mambo mengine mtajiju.

Sasa kwa hali hii wafanyakazi watang'ang'ania hapo wanatafuta nini?

New generation are focusing for their future not blabla


mimi nafikiri hujui unachoongea, huyo mama unayemsema amelitumikia taifa zaidi ya miaka 30 kwa bidii zote. Upewe wewe huo ukurugenzi tuone utafanya nini.

Mama yangu hana shida mpaka afikirie kuongezewa muda wa mkataba wake. In short, do your research before commenting on things you have no clue on.
 
mimi nafikiri hujui unachoongea, huyo mama unayemsema amelitumikia taifa zaidi ya miaka 30 kwa bidii zote. Upewe wewe huo ukurugenzi tuone utafanya nini.

Mama yangu hana shida mpaka afikirie kuongezewa muda wa mkataba wake. In short, do your research before commenting on things you have no clue on.

Jibu hoja moja baada ya nyingine, au mwambie mama yako ajibu.

Ama sivyo utatufanya tuamini kwamba ukaribu wa kifamilia unakufumba macho.

Na nani kasema kwamba nepotism na cronyism mpaka mtu awe na shida? Mwizi anaweza kuiba hata akiwa bilionea, mtu muadilifu anaweza kuwa muadilifu hata kama hana kitu.

Kama kwenye vile visoda vya zamani, nakwambia "Jaribu Tena". Hujafaulu kuni convince mimi wala mtu yeyote anayefikiri.
 
Jibu hoja moja baada ya nyingine, au mwambie mama yako ajibu.

Ama sivyo utatufanya tuamini kwamba ukaribu wa kifamilia unakufumba macho.

Na nani kasema kwamba nepotism na cronyism mpaka mtu awe na shida? Mwizi anaweza kuiba hata akiwa bilionea, mtu muadilifu anaweza kuwa muadilifu hata kama hana kitu.

Kama kwenye vile visoda vya zamani, nakwambia "Jaribu Tena". Hujafaulu kuni convince mimi wala mtu yeyote anayefikiri.


There is no need to convice you of anything. The truth will always be the truth whether you believe it or not. Do your own research and ask people who knows her and you will get your answer.

Kuna watu wanapenda kulalama kichinichini na kutumia majina bandia, wakiambiwa njoeni basi na ushahidi hawataki kujitokeza, unategemea nini kifanyike? kuna haki za binadamu . .people are innocent till proven giulty beyond reasonable doubt.

She has done her best and she can be anything but corrupt. By the way she is leaving soon so those who think that she is bad breath at TCAA don't have to worry for long.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom