Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 16,899
- 54,313
Sema leo naona kuna namna kitandani sio sana ila nimeona scene ya Bastola.Usimtishe yapo kidogo na imeshaisha
Sema leo naona kuna namna kitandani sio sana ila nimeona scene ya Bastola.Usimtishe yapo kidogo na imeshaisha
dah nimesoma mpka mwisho nikajua kutakua na muendelezo wa mpka sasa,, mbona story imeisha ila bado nina arosto😪 ,, hakuna ulivyo sahau kweli da mkubwaHujasoma vizuri mpka chini timeshare hiyooo
dah nimesoma mpka mwisho nikajua kutakua na muendelezo wa mpka sasa,, mbona story imeisha ila bado nina arosto😪 ,, hakuna ulivyo sahau kweli da mkubwa
leta tu za huyo mshikaji hizo za mjomba zitunze tunze kwanza maana zitakua na ushauri wa kikubwa😅Hahaha 😆 😂 😆 😂 😆
Nikapata muda ntaleta nyingine ya harakti zangu na mjomba wangu! ila humo hakuna kabisa mizagamuo au ntaleta na mshikaji wangu huyu.
ulipo nipo💃💃Stay tuned
Asante sana leo dada nimewasiliephen_ Mahondaw raraa reree Mpaji Mungu Chica Gee
cocastic sikuoni mwali wangu
Shadeeya mzee mwenzangu njoo some milipuko yangu
Chivundu Mtili wandu The Icebreaker mkiamka mnakutana na hii
Mwachiluwi secretarybird Mbaga Jr njooni msome ya wakubwa mkomae huku.
Una-imagine nini?Aiseee kumbe ndiyo Mwisho! 😊 Anyway tuletee tena Story tuburudike
Hongera sana leo dada una usimuliaji mzuri mpaka mtu una Imagine kama kweli vile…
Binafsi nime enjoy sana Barikiwa 🙏
Na imagine kama nacheki movieUna-imagine nini?
😅😅 hebu niwachweumeweza kuimagine nini😎
huachwi mpka useme😅😅😅 hebu niwachwe
Haya bn.Na imagine kama nacheki movie
😅sisemi niuweni 😂huachwi mpka useme😅
😁😁 siyo unachofikiriaHaya bn.