TBC2 Channel Frequency!

Hii ndo nchi pekee duniani (baada ya Zimbabwe), kuquote price za vitu kwa dollar. Under normal circumstances ilitakiwa bei iwe kwa shilling ili dollar inunue shilingi. Hapa ni kinyume, shiling inanunua dollar! Hivi tuna wachumi kweli?
Nenda Kenya au Malawi, ni price zote ziko kwenye shilingi au Kwacha. Au beba vidollar vyako ulaya, ni lazima ununue Euro ili uweze kuzitumia. Si Bongo bwana, hata bia kwenye mahoteli makubwa ina chajiwa in dollars!
Ngoja EAC ije tupate akili, tumelala mno!

Mkuu umeongea kitu cha Msingi sana na hii ingepunguza vitu kupanda Bei kila kukicha,

Unless we have such a thinking minds in our country, development is a nightmare
 
Nasikia TBC1 walitoa frequency za TBC2 ambazo zinapatikana kupitia KU Band LNB. Kama kuna mtu amezidaka pls tuhabarishane!

Mkuu subiri Jumapili,6 June 2010, Mzee wa kuzindua atakapokuwa akiizindua TBC2 ndipo pengine waeweza jua hizo frequecy zake. Si mbali saaaaaana toka leo.
 
Star Media sasa hivi wana king'amuzi wanakiuza kwa sh 70000/=. Tunaambiwa humo ndimo TBC2 itakakopatikana. TBC1 watahangaika na Bunge la bajeti. Tuiombe tu serikali iwamulike hawa MultiChoice(T) wasitulipishe ada yao ya mwezi kwa dola. Jana nililipa sh 116000/=. Walianza watu simu za mkononi mchezo huu. Wakauacha baada ushindani kupamba moto. Sasa hivi hata kwa thumni unaongea. Nani aliiua GTV mapema vile?
 
Star Media sasa hivi wana king'amuzi wanakiuza kwa sh 70000/=. Tunaambiwa humo ndimo TBC2 itakakopatikana. TBC1 watahangaika na Bunge la bajeti. Tuiombe tu serikali iwamulike hawa MultiChoice(T) wasitulipishe ada yao ya mwezi kwa dola. Jana nililipa sh 116000/=. Walianza watu simu za mkononi mchezo huu. Wakauacha baada ushindani kupamba moto. Sasa hivi hata kwa thumni unaongea. Nani aliiua GTV mapema vile?


Usianze kutafuta mchawi GTV ilikufa natural death bwana!
 
ngoja tusubiri kwa kweli kama siye tunaotegemea hizo free channel kupitia dish naona Kombe la dunia kupitia TBC hatutaliona hii ni njia mojawapo ya kuwaumiza watu na kufanya biashara. (urasimu)
 
wakizengua tutacheki TV msumbiji...
Nitakuunga mkono kwangu inashika vizuri kupita kiasi, its better nikaanza kozi ya Kireno kwanza nitakuwa nimeongeza elimu. Siyo haya mambo ya kutaka kutubamba migongo tu kila siku, tumechoka
 
Nitakuunga mkono kwangu inashika vizuri kupita kiasi, its better nikaanza kozi ya Kireno kwanza nitakuwa nimeongeza elimu. Siyo haya mambo ya kutaka kutubamba migongo tu kila siku, tumechoka

Teh teh teh...
 
Japo kombe limepita yaweza kukusaidia Satelite ni Eutelsat W2A 10 Degree E. Freq. 3927R SR 8300 FEC 5/6
 
Back
Top Bottom