Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Leo mchana huu wa taarifa ya saba mchana kituo chetu cha TV cha TBC1 kimedai kwa makosa ya kuwa Raisi wa Marekani aliuagiza uongozi wa serikali ya Misri uunde serikali ya umoja utakaowashirikisha wapinzani...................................
Obama alimuhimiza Raisi wa Misri Hosni Mubarak aharakishe mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa ili kukidhi mahitaji ya raia wake yakiwemo ya kujenga mazingira ya uchaguzi ujao uwe wa huru na wa haki........................................................
Haya ya kuunda serikali ya mseto ni njozi za TBC1 tu............kwani hata jana Waziri wa mambo ya kigeni Hillary Clinton alisema kwenye vituo mbalimbali vya TV nchini humo ya kuwa si jukumu la marekani kuwapangia wamisri njia ya kupita ili kutatua matatizo yao makubwa ya kiuchumi na kisiasa........................................
TBC1 stop lying to us........................................mnaogopa nini kusema ukweli?.....................We all need to remember that only the truth can set us free.................................
Obama alimuhimiza Raisi wa Misri Hosni Mubarak aharakishe mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa ili kukidhi mahitaji ya raia wake yakiwemo ya kujenga mazingira ya uchaguzi ujao uwe wa huru na wa haki........................................................
Haya ya kuunda serikali ya mseto ni njozi za TBC1 tu............kwani hata jana Waziri wa mambo ya kigeni Hillary Clinton alisema kwenye vituo mbalimbali vya TV nchini humo ya kuwa si jukumu la marekani kuwapangia wamisri njia ya kupita ili kutatua matatizo yao makubwa ya kiuchumi na kisiasa........................................
TBC1 stop lying to us........................................mnaogopa nini kusema ukweli?.....................We all need to remember that only the truth can set us free.................................