Maombi ya watanzania kuwa kipindi kirudiwe ili wachambue mbivu na mbichi bila kuacha hata chembe!!
Watanzania wengi sio wajinga kama wachache (nyie). Watanzania wamefumbuliwa macho na Dr. Slaa.
Mkuu mimi pia nimewaona leo tena nikashangaa sana.hivi watanzania uwadanganye eti ni mawazo ya doctor slaa pekee?slaa ameuambia uma kua bado anakula mihogo na maharage hana hela.sawa tunakubali na aendelee kulatu kama sisi maana wengine pia hatuipati hiyo mihogo.lakini tbc ni chombo cha serikali kinajiendesha kibiashara.nani kalipia matangazo hayo ya slaa kuonyeshwa mara tatu?na hatujui kesho itakuaje.tbc mumeshindwa hata kuonyesha hotuba za mwalim japo kidogo kama itv.mumewezaje za slaa?amedhaminiwa nanani kurusha matangazo hayo?yote tisa kumi nikwamba mumechelewa kama ni meli iko katikati ya maji kama ni mvua ishaleta mafuriko kuyazuia kw mitaro haiwezekani.
Sasa tunaanza kujiuliza kulikoni? Jama mmerusha live, mkarudia tena usiku wa jana, leo tena mnarudia tena?
Mbona wakati wa Lowassa kuama CCM kwenda CHADEMA hamkurusha? Na ikizingatiwa huyu alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika serikali?
Mbona sumaye alipo ondoka CCM na kujiunga na UKAWA hamkurudia na huyu ni mtu mwingine mzito?
Kwanini Dr. Slaa?
Kuna nini nyuma ya panzia? Ina maana Dr Slaa ni mtu mkubwa kuliko hawa hambao hakuona humuimu wa kuweka habari zao kama mnavyofanya kwa Dr. Slaa?
Naomba kuwasilisha:
Kwani kama amelipia kuna ubaya gani?wengine hawakupata nafasi jana,kuna kipi cha kufichwa
Sasa tunaanza kujiuliza kulikoni? Jama mmerusha live, mkarudia tena usiku wa jana, leo tena mnarudia tena?
Mbona wakati wa Lowassa kuama CCM kwenda CHADEMA hamkurusha? Na ikizingatiwa huyu alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika serikali?
Mbona sumaye alipo ondoka CCM na kujiunga na UKAWA hamkurudia na huyu ni mtu mwingine mzito?
Kwanini Dr. Slaa?
Kuna nini nyuma ya panzia? Ina maana Dr Slaa ni mtu mkubwa kuliko hawa hambao hakuona humuimu wa kuweka habari zao kama mnavyofanya kwa Dr. Slaa?
Naomba kuwasilisha:
Siyo hivyo tu, hivi ikitokea mtu akaita press conference, halafu akalipia Tv zote na akaanza kusema Magufuli ni fisadi. Halafu akalipia irudiwe mara 3 tena malipo halali kwa TBC1, Je TBC watakuli kurusha? Dr Slaa sikutegemea kama atakua mtu cheap kama hivi, yaani anauza utu wake kwa kiasi hiki,mtu aliyefikia level ya pdre! Ni aibu kubwa sana!
Siyo hivyo tu, hivi ikitokea mtu akaita press conference, halafu akalipia Tv zote na akaanza kusema Magufuli ni fisadi. Halafu akalipia irudiwe mara 3 tena malipo halali kwa TBC1, Je TBC watakuli kurusha? Dr Slaa sikutegemea kama atakua mtu cheap kama hivi, yaani anauza utu wake kwa kiasi hiki,mtu aliyefikia level ya pdre! Ni aibu kubwa sana!
Ajabu kubwa sijaona ZBC wakiungama.