Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Sina tatizo na hilo kwani ingekuwa huku Kisumu hata KBC wakionyesha
Sina tatizo na Clouds TV kuonyesha live mazishi ya Kanumba, lakini hili la TBC 1 nayo kurusha live mazishi hayo linanishangaza sana. Hivi kwa TBC1 Tv ya Taifa, suala hilo ni muhimu kiasi hicho? Mbona coverage ya matokeo ya chaguzi ndogo huwa haifuatiliwi kiasi hicho?
mkuu wewe umesema jambo kubwa sana,walikufa watu zaidi ya 3000 ktk meli zenj tbc walikua wanarusha taarabu ,leo eti kunumba kafa wanakatisha matangmeli ya zanzibar ilivyozama wao walikuwa wanarusha taarabu
Meli zbr ilizama maelfu ya wa2 wamekufa wanarusha wanarusha vindi vya kawaida leo wanakata bunge!. Nchi hii kweli kuna kazi.