Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kadri siku zinavyoenda nguvu za Chadema za kupata katiba mpya linapata kasi
Sasa hivi kuna mpango unasukwa wa kudidimiza hoja za CDM ili wapoteze imani kwa
watanzania kuwa CDM kudai katiba haina maana.
TBC1 wanasuka mpango wa kushinikiza hoja za kupikwa zinazoelekezwa kwa zitto kuzifanya za kweli, Muda si mrefu ataona TBC wanamhoji Zitto tena
TBC1 imetumika sana na MCC na sio kwa masirahi ya TAifa
Stay Tuned
Sasa hivi kuna mpango unasukwa wa kudidimiza hoja za CDM ili wapoteze imani kwa
watanzania kuwa CDM kudai katiba haina maana.
TBC1 wanasuka mpango wa kushinikiza hoja za kupikwa zinazoelekezwa kwa zitto kuzifanya za kweli, Muda si mrefu ataona TBC wanamhoji Zitto tena
TBC1 imetumika sana na MCC na sio kwa masirahi ya TAifa
Stay Tuned