TBC1 waandaa mpango wa kuichafua CHADEMA

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Kadri siku zinavyoenda nguvu za Chadema za kupata katiba mpya linapata kasi
Sasa hivi kuna mpango unasukwa wa kudidimiza hoja za CDM ili wapoteze imani kwa
watanzania kuwa CDM kudai katiba haina maana.

TBC1 wanasuka mpango wa kushinikiza hoja za kupikwa zinazoelekezwa kwa zitto kuzifanya za kweli, Muda si mrefu ataona TBC wanamhoji Zitto tena

TBC1 imetumika sana na MCC na sio kwa masirahi ya TAifa

Stay Tuned
 
Kings tuambie umezipata wapi hizi habari? Tuthibitishie ili tujue kuwa TBC1 ni mali ya ccm au ya serikali.
 
Umetuacha hewani kiasi kwamba tunashindwa kuchangia kwa kina, umeileta habari hii kama tetesi
 
Kings tuambie umezipata wapi hizi habari? Tuthibitishie ili tujue kuwa TBC1 ni mali ya ccm au ya serikali.

Nadhani kama umeachwa mbali kidogo kwani kampeni za urais za jk. Zilitumia magari na fedha zipi? Ccm.ndiyo serikali na tbc ni ya ccm yaani chama na serikali ni pete na kidole.
Pole samaki.
 
Nadhani kama umeachwa mbali kidogo kwani kampeni za urais za jk. Zilitumia magari na fedha zipi? Ccm.ndiyo serikali na tbc ni ya ccm yaani chama na serikali ni pete na kidole.
Pole samaki.



Nimekusoma.
 
Back
Top Bottom