TBC1 haipendwi na Watanzania

TBC1 haipendwi na Watanzania

Huu ndio muda wa wafanya biashara kutangaza kupitia TBC kwani idadi kubwa ya watu watukua wanaangalia hilo dubwashA
 
Twaweza wangetumia hii nafasi kufanya utafiti kuhusu ukubalikaji Wa TBC mtaani,halafu waje na majibu
 
Tibisi inakuwaga na positive peke yake hainaga negative,,kila siku masifa ya kijinga kusifia sifia hadi uongo.. nani apoteze muda kwenye hili li Television
 
Nape Nauye mwenyewe kafunga DSTV kwake waqt ndio alionekana mzalendo kupitiliza akiwa waziri. Ninaimani hakuna mkuu wa wilaya. Mkoa au waziri anaeangalia TBC
 
TBC1 ndo kitu gani tafadhali mwenye uwelewa anieleweshe
 
Yaani siwz angalia TBC hata wangenilipa,sipo tyr kuangalia unafiki kwa vitendo
 
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
una akili timamu ?
 
Yes kweli tuna hasira swali langu ni je siku kama ya leo watangazaji wa habari wa hizi TV watakuwa wameiingia studio kurusha habari?Na kama wameingia wanamlenga nani aione hiyo habari maana vingamuzi vyote wamepigwa ban............

Mwisho Tbc hata iweje siwezi ipenda wala kuitazama kuanzia graphics zao,muonekano mbovu na mwisho habari zao mbovu mbovu
 
Back
Top Bottom