TBC1 haipendwi na Watanzania

TBC1 haipendwi na Watanzania

Jana nililazimika kuangalia channels za Kenya kupata habari saa moja na saa tatu usiku. TBC tupa kule!!
 
Iondoe kasoro itapendwa tu,japo Upendo haulazimishwi.
 
Tbc imekosa mafundi mitambo wenye ubunifu,na vifaa duni (camera).Muonekano wake ni wa hali ya chini sana,haina mvuto kabisa,pia ina taarifa za upande moja (ccm).
 
Tutaipendaje TBC wakati yenyewe haitupendi. TBC hawana heshima hata kidogo wanatusukumia habari hata kama hazikubaliki. Wakae waangalie wenyewe bango, cherereko na kumwagiana sifa ambazo hazipo
 
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
Enzi Za Tido Muhando TBC ilikuwa Nzuri Sana Ilikuwa na Vipindi Vizuri Sana!Watu Tunaichukia Maana Ni Tv Ya Kusifia Sifia Tu Vitu Vya Hovyo Wapinzani tunaiitaga TBCCM
 
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
Huipendi wewe
 
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
Hakuna MTU mwenye akili timamu anaweza kutazama huu uchafu hata wafanyakazi WA TBC huangalia taarifa za za Azam2 au Itv
 
Haina tofauti Na KBC ya moi ilikuwa ni kumsifia mtukufu arap moi Kenya
 
Back
Top Bottom