TBC1 haipendwi na Watanzania

TBC1 haipendwi na Watanzania

IHOLOMELA

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,807
Reaction score
1,677
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
 
urafiki wao na ccm nddo shida, ingekuwa neutral ht mm ningeipenda channel yangu y taifa langu pendwa
 
Kuna sehemu nilikuwa naangalia mechi ya Arsenal na Man City baada ya mechi wakaweka TBC1. Watazamaji wote wakapiga kelele wakitaka hio Chaneli iondolewe wakataka Bbc World, Aljazeerah au chaneli yoyote ya mziki. King'amuzi ni cha DSTV wameweka TRACE.

Sijawaelewa hawa watanzania kwanini hawana uzalendo wa kuangalia TBC chaneli pendwa ya nyumbani kwetu. Naipe da sana TBC1 kwani ni Tv ya Habari za uhakika kwa watanzania bila kupendelea. Nini maoni yako?
Kitu hupendwa kwa uzuri wake, na si kwa nani mmiliki.... Majumbani kwenu mna vingapi si vya Tanzania na wakati bidhaa hizo hizo zipo Tanzania??
 
Walianza kwenye
1. Wakandalasi.... Tenda watu binafsi wakanyimwa.... Mambo TEMSA, TBA etc.... hadi tukaja na expansion joint
2. Wakaingia PRIVATE SCHOOL... wakasema ukisoma huko, MKOPO ELIMU YA JUU SAHAU
3. Ndege... FASTJET ROUTE YA KIGOMA IKAWEKEWA MBWEMBWE...
4. Leo wamehamia kwenye Ving'amuzi.... LOcal chanels zote kwaheri..... kasoro TBC, kama ilivyokuwa ATCL, TEMESA, TBA

YAFUTAYO YA MUENDELEZO HUO
 
Walianza kwenye
1. Wakandalasi.... Tenda watu binafsi wakanyimwa.... Mambo TEMSA, TBA etc.... hadi tukaja na expansion joint
2. Wakaingia PRIVATE SCHOOL... wakasema ukisoma huko, MKOPO ELIMU YA JUU SAHAU
3. Ndege... FASTJET ROUTE YA KIGOMA IKAWEKEWA MBWEMBWE...
4. Leo wamehamia kwenye Ving'amuzi.... LOcal chanels zote kwaheri..... kasoro TBC, kama ilivyokuwa ATCL, TEMESA, TBA

YAFUTAYO YA MUENDELEZO HUO
Hio namba 3 iliniboa sana I see. ATCL wako bei sana. Wangetuachia tu Fastjet iende Kigoma
 
Tibisi wazee wa UKWELI NA UHAKIKA mwaka huu tutangaalia chereko bila kupenda 😀😀
 
Back
Top Bottom