Shapu
Platinum Member
- Jan 17, 2008
- 2,123
- 820
Nimekuwa nikiangalia sana TBC1, mategemeo yangu ni kwamba kungekuwa na vipindi mbalimbali vinavyoonyesha na kuhamasisa maendeleo hasa vijijini. Na pia habari zake zingekuwa detailed na kucover mikoa mingi zaidi. Cha ajabu TBC1 ni tofauti na mategemeo yangu hasa ukizingatia ndiyo television ya taifa ambayo ilitakiwa kutuletea mambo mengi yahusuyo mila, desturi na vitu vya namna hiyo.
Mambo yaliyo nifanya nije na hii hoja:
1. TBC1 imekuwa ikionyesha mechi za ligi za nje. Hili limepelekea hata kutokuheshimu ratiba ilizo ziweka. Utakuta taarifa ya habari siku hiyo itakuwa postponed to the next fews hours kupisha mechi. Hili linatokea bila kujali ni watanzania wangapi wako interested na mechi au laa. Pengine hata taarifa ya kutokuwa na taarifa ya habari haitolewi. Je ni nini madhumuni ya kuwa na television ya taifa?
2. TBC1 utafikiri sasa ni television ya kufanyia gambling(kamari). Kuna michezo mingi sana in between ya kuchota fedha za watu. Kuna Kitimtim, Vunavuna, etc etc (samahani kama nimechanganya na michezo ya tv nyingine lakini lengo ni kuonyesha ilivyo mingi). Michezo hii hupewa kipaumbele sana na hutangazwa kila mara. Kinacho kera hawataji ki kiasi gani cha hela kitatozwa kwa kujiunga na one of hizo kamari. Ila wataandika kwa maandishi madogo sana hapo chini kwenye tz kuwa ni sh kadhaa kwa sms ambayo ni kubwa sana. To me huu ni wizi ambao siutegemei kwenye television yetu ya taifa ambapo wewe na mimi tunaigharamia kupitia kodi zetu.
3. Ratiba ya TBC1 haifuatwi kikamilifu na taarifa za uvunjaji wa ratiba haitolewi mara nyingi. Utakuta kuna kipindi unafuatilia mara hakipo. Utashangaa tuu kinakujia pale ambapo haikuwa kawaida. Sasa ninajiuliza what is that??
Naomba kuwakilisha. Kama na wewe yamekukera yalete hapa na mengine pengine jamaa watatusikia. Sijaongelea wanavyo kuwa biased kwenye siasa.
Mambo yaliyo nifanya nije na hii hoja:
1. TBC1 imekuwa ikionyesha mechi za ligi za nje. Hili limepelekea hata kutokuheshimu ratiba ilizo ziweka. Utakuta taarifa ya habari siku hiyo itakuwa postponed to the next fews hours kupisha mechi. Hili linatokea bila kujali ni watanzania wangapi wako interested na mechi au laa. Pengine hata taarifa ya kutokuwa na taarifa ya habari haitolewi. Je ni nini madhumuni ya kuwa na television ya taifa?
2. TBC1 utafikiri sasa ni television ya kufanyia gambling(kamari). Kuna michezo mingi sana in between ya kuchota fedha za watu. Kuna Kitimtim, Vunavuna, etc etc (samahani kama nimechanganya na michezo ya tv nyingine lakini lengo ni kuonyesha ilivyo mingi). Michezo hii hupewa kipaumbele sana na hutangazwa kila mara. Kinacho kera hawataji ki kiasi gani cha hela kitatozwa kwa kujiunga na one of hizo kamari. Ila wataandika kwa maandishi madogo sana hapo chini kwenye tz kuwa ni sh kadhaa kwa sms ambayo ni kubwa sana. To me huu ni wizi ambao siutegemei kwenye television yetu ya taifa ambapo wewe na mimi tunaigharamia kupitia kodi zetu.
3. Ratiba ya TBC1 haifuatwi kikamilifu na taarifa za uvunjaji wa ratiba haitolewi mara nyingi. Utakuta kuna kipindi unafuatilia mara hakipo. Utashangaa tuu kinakujia pale ambapo haikuwa kawaida. Sasa ninajiuliza what is that??
Naomba kuwakilisha. Kama na wewe yamekukera yalete hapa na mengine pengine jamaa watatusikia. Sijaongelea wanavyo kuwa biased kwenye siasa.