TBC wanilipe fidia ya Milioni 500

TBC wanilipe fidia ya Milioni 500

Yn kwenye banda la mpira nikikuta wameweka tbc hapo hapo natoka mana hawatokuwa serious
 
🤣🤣🤣 umenikumbusha road to oct 29 Habil kabil 😂😂😂
Ila hii nchi tutafika tumechoka sana
 
Robert Heriel Mtibeli nakumbuka ulisema hii kitu na imetokea kweli hawa jamaa TBC sijui namna gani yaan mbwembwe nyingi halafu wanaleta mambo ya ajabu,

Jana kuna mtu namwambia mpira umeanza? ananiambia Channel gani? namwambia TBC si walisema wanaonyesha gemu zote, eeh kacheck ananiambia hakuna namwambia kuna nini? ananiambia ooh wanaonyesha askofu anaapishwa nikamwambia muda huu wa mpira? ananiambia ndio, nilichoka sana
mabeberu wa Azam wamelalamika kwa shoga wao naona shoga wao kawaelewa.
 
TBC walitudanganya peke zao kwa raha zao kwamba wangetuonesha mechi zote za World Cup.

Nikaamua peke zangu kwa raha zangu kununua big screens na kuziweka kwa street.

Cha ajabu, watu wanakusanyika kusubiri mechi, TBC mara wanazindua vipindi vipya vya Safari Channel, mara mama yao anaongea peke zake kwa raha zake.

Nimekata tamaa. Naenda kuwaripoti ICC.

By. Habil and Qabil
Ulisahau kwamba TBC ni channel ya hovyo ambayo haioni aibu kuongea uongo hadharani?

Ndugu yangu kakaa kwenye tv hadi muda huu anangoja kuona mechi ya Japan 🗾 vs Netherlands wakati mechi imeisha tangu jana
 
Walisema:
  • Wataonyesha mechi za Kombe la Dunia 2026
au
  • Wataonyesha mechi zote za Kombe la Dunia 2026

kama kuna sehemu waliandika au kutamka "ZOTE" watakulipa hiyo Mil 500..
 
Walisema:
  • Wataonyesha mechi za Kombe la Dunia 2026
au
  • Wataonyesha mechi zote za Kombe la Dunia 2026

kama kuna sehemu waliandika au kutamka "ZOTE" watakulipa hiyo Mil 500..
Walisema ZOTE mkuu kwenye tangazo na wakasisitiza huna haja ya kwenda popote maana watakuletea hapo hapo.
 
TBC walitudanganya peke zao kwa raha zao kwamba wangetuonesha mechi zote za World Cup.

Nikaamua peke zangu kwa raha zangu kununua big screens na kuziweka kwa street.

Cha ajabu, watu wanakusanyika kusubiri mechi, TBC mara wanazindua vipindi vipya vya Safari Channel, mara mama yao anaongea peke zake kwa raha zake.

Nimekata tamaa. Naenda kuwaripoti ICC.

By. Habil and Qabil
sio kwa ubaya ila mwisho wa matangazo yao huwa wanasema "Vigezo na Masharti kuzingatiwa", muwe mnasoma masharti na hivyo vigezo ni vipi ili msikurupuke
 
kuhusu viko wapi sasa, hio ni homework yako na kama uko serious na kuwapeleka mahakamani, ulitakiwa uanzie hapo. Maana how else would you make your case?
Halafu mbona kwenye hili tangazo hawajasema vigezo na masharti kuzingatiwa?
 
Back
Top Bottom