Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,088
Akina Lisu wameshapigwa ban
They are trying to 'kill' the revolutionaries but not the ideas...wanafundisha na kuwakomaza akina Lissu na Mnyika wengine wengi zaidi huku nje. Uonevu huotesha sugu na kuwafundisha wanaoonewa njia za kujilinda dhidi ya uonevu. It is just a normal principle.
Akina Lisu wameshapigwa ban
Msigwa na mwenzake wamekula ban ya vikao viwili vya bunge.
Bavicha una uhakika bunge linaendelea? Si mmewatuma wanywa viroba wakafanye vurugu? Makinda alisema bunge litaendelea hapo atakapo tangaza ngoja kwanza hawa walevi wenu washughulikiwe!
Bila shaka wata simamishwa kuhudhuria bunge! Mkumbushe Mnyika wana ubungo tuna hitaji maji....
UKAWA waliobaki waendeleze libeneke!Shekifu anapiga CCM hoyee bungeni.Hawa kweli wamepania kutuondolea vichwa bungeni.
Mohamedi Mtoi safar hii anamtoa huyo konokono Jimbo la Lushoto.huyo shekifu na uzee wake lakini hakui kifikra.
Bavicha una uhakika bunge linaendelea? Si mmewatuma wanywa viroba wakafanye vurugu? Makinda alisema bunge litaendelea hapo atakapo tangaza ngoja kwanza hawa walevi wenu washughulikiwe!
Bila shaka wata simamishwa kuhudhuria bunge! Mkumbushe Mnyika wana ubungo tuna hitaji maji....
Nafatliaga kila nipatapo nafasi mkuu