Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Niwapongeze wana JF kwa ushauri wa kuijenga TBC juu ya kukubali kuitumikia CCM wakati wakijijua kuwa ni mali ya Serikali wala siyo CCM
Kufuatia ushauri huo naona TBC safari hii wameamua kujiweka pembeni wakati wa Mkutano Mkuu na Kamati Kuu za CCM pale Dodoma na badala yake wao walikuwa ni watazamaji kama akina sisi.
Badala yake aliyeamua kubeba mzigo huo akawa ni Clouds Media jambo ambalo ni halali kwao kama ni makubaliano ya kibiashara au mapenzi yao hiyo haitusumbui.
Hongera sana wana JF kwa ushauri ushauri wenu na kuwa watetezi wa Mali za Umma kutotumiwa hovyo.
Kufuatia ushauri huo naona TBC safari hii wameamua kujiweka pembeni wakati wa Mkutano Mkuu na Kamati Kuu za CCM pale Dodoma na badala yake wao walikuwa ni watazamaji kama akina sisi.
Badala yake aliyeamua kubeba mzigo huo akawa ni Clouds Media jambo ambalo ni halali kwao kama ni makubaliano ya kibiashara au mapenzi yao hiyo haitusumbui.
Hongera sana wana JF kwa ushauri ushauri wenu na kuwa watetezi wa Mali za Umma kutotumiwa hovyo.