Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

TBC ya Tido Mhando ndo ilikuwa Television ya kuangalia, Tangu Alipoondoka Tido mhando taarifa zao za habari zikawa za hovyo, Matukio wanaficha wakati enzi ya Tido mhando tulisikia na kuona kila kitu, Kiongozi akitoa maagizo, kama Luna mjadala ilikuwa ya wazi, Mfano Mchakato wa majimboni, Kwenye taarifa za habari tulioneshwa mwanzo wa tukio had I mwisho bila kutuacha na maswali ya ziada Susi watazamaji, TBC ya sasa IPO tayari kuficha ufisadi wa kiongozi ili kulinda Tabaka tawala , Kwa kweli Baba Magufuli turudishie Tido Mhando wetu kwenye TBC ili airudishe kama mwanzo, Huyu aliyepo in mzigo usiobebeka hata na msukuma ambao husifika kubeba mizigo mizito. BABA MAGUFULI TAMKA NENO MOJA TU NA TBC YETU IPONE, NENO HILO NI BRING BACK OUR TIDO MHANDO TO TBC.
 
Washauri wa Baba Magufuri turudishieni Tido Mhando wetu, Binafsi tangu alipoondoka Tido Mhando sikumbuki ni lini nilitizama TBC
 
Hii ndiyo sabb ya wao kukaa kwa dharura usiku? Si wangejadiliana mchana kweupe tu?

kurudisha imani kwa watazamaji ngumu sana. kuna ndoa zimevunjika kwa kosa la mmoja wao kukutwa anatazama TBC.
 
Nafikiri wawekeze kwenye ubunifu mikwala haitowasaidia. Bado sijaona kipindi cha kunifanya nifungulie TBC.
 
hawawezi kamwe kujinasua la hilo,hicho ni kidonda ndugu kwao hawako kitaaluma ila wanatumika vibaya na ccm na serikali yake. laana ya kumfukuza Tido itawaandama hadi wakampigie magoti .
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.

Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.

Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
TBC hamko vibaya jaribuni
1.ku ji RE-INVENT- Upya!
2. Mnahitaji mfanye MARKET SURVEY ili kujua ni nini CONSUMERS/WALAJI wa VIPINDI wanataka kusikia na kutazama.
3. Habari zenu ziwe COMPETITIVE/ za USHINDANI
4.Muwe innovative/WABUNIFU
5. Hata habari za vyama vya UPINZANI vipate equal COVERAGE si katika UHASI peke yake bali hata katika mambo yao CHANYA!
6. Taarifa zenu ZISIWE HEAVILY REDUCTED/ZILIZO EDITIWA sana mpaka zinamaliza UTAMU wa habari. Kwa njia hiyo mtabaki kwenye market . bila hiyo MTAFUNGA
 
Hawajui sababu, waende wakajifinze gazeti la uhuru, ccm ni chama kikomavu lkn mawazo ya kitoto kitotoooo. Mpk wabunge wa ccm mambo yao ya kitoto kitoto aibu. Nani asikilize misifa fm hata hakuna cha kusifiwa bado ni sifa tv
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.

Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.

Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
TBC imejaa wazee kutoka RTD wapo hadi Leo ! Usitegemee mabadiliko kwenye mazingira Kama hayo !!
 
Back
Top Bottom