Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,985
leo TBC walitutangazia kuwa ifikapo saa 4 kamili watakua na kipindi cha maisha ya the late koffi anan
Mimi nilitegemea documentary ya maana kama zile nilizozizoea HISTORY CHANNEL au CCCTV kwenye kipindi cha FACES OF AFRICA
matokeo yake,kipindi hiki kimechelewa kuanza kwa kuanza saa 4 na dakika 16 (hawa hawaendani kabisa na mabadiriko ya science na teknolojia, channel zote international kipindi kinaanza sekunde kadhaa kabla)
Nikasema anyway isiwe tabu, kitu kilichonishangaza kama sio kuniuzunisha, mtangazaji amemualika profesa wa chuo cha diplomasia ambaye naye anaongea tu vitu vya ajabu hajibu hoja vizuri
Kilichoniudhunisha zaidi ni kuwa nilitegemea kipindi hiki tungeambiwa maisha ya the late koffi anan tokea akiwa mtoto mpaka alipofikia
Lakini mtangazaji na profesa wake wakaanza kuongelea mwaka 1997 wakijikita kwenye uongozi tu wa bwana huyu
Katika dakika za mwisho kama ilivyokawaida ya TBC mtangazaji akaanza kumfananisha koffi anan na magufuli ,kitu ambacho professa alionekana kukipenda wakaanza kumsifia magufuli na kwenda mbali zaidi wakidai Magufuli hadi wakenya wanamtamani awe rais wao
Hii ndio channel yetu tuliobakiziwa kwenye ving'amuzi , nimesikitika sana mpaka kukumbuka kauli za member wa JF wanaodai wana miaka hawajaangalia TBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilitegemea documentary ya maana kama zile nilizozizoea HISTORY CHANNEL au CCCTV kwenye kipindi cha FACES OF AFRICA
matokeo yake,kipindi hiki kimechelewa kuanza kwa kuanza saa 4 na dakika 16 (hawa hawaendani kabisa na mabadiriko ya science na teknolojia, channel zote international kipindi kinaanza sekunde kadhaa kabla)
Nikasema anyway isiwe tabu, kitu kilichonishangaza kama sio kuniuzunisha, mtangazaji amemualika profesa wa chuo cha diplomasia ambaye naye anaongea tu vitu vya ajabu hajibu hoja vizuri
Kilichoniudhunisha zaidi ni kuwa nilitegemea kipindi hiki tungeambiwa maisha ya the late koffi anan tokea akiwa mtoto mpaka alipofikia
Lakini mtangazaji na profesa wake wakaanza kuongelea mwaka 1997 wakijikita kwenye uongozi tu wa bwana huyu
Katika dakika za mwisho kama ilivyokawaida ya TBC mtangazaji akaanza kumfananisha koffi anan na magufuli ,kitu ambacho professa alionekana kukipenda wakaanza kumsifia magufuli na kwenda mbali zaidi wakidai Magufuli hadi wakenya wanamtamani awe rais wao
Hii ndio channel yetu tuliobakiziwa kwenye ving'amuzi , nimesikitika sana mpaka kukumbuka kauli za member wa JF wanaodai wana miaka hawajaangalia TBC
Sent using Jamii Forums mobile app

