matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Ndugu wanajamvi nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa taarifa ya habari ktk chombo hiki cha habari kinachodaiwa kuwa cha umma kwa muda mrefu sasa,ila taarifa ya habari ya leo saa mbili usiku imeniacha hoi takribani dk 17 za mwanzo imezungumuzia ccm na mchakato wa kujivua gamba, ikianza na mukama kuzungumzia kuteuliwa kwake na bla bla nyingine.Taarifa muhim kama ya mkaguzi wa hesabu ikipewa nafasi ndogo.Wana jamii nini maana ya haya mambo tbc ni chombo cha propaganda cha ccm,Shitambala alipohamia ccm alipewa nafasi kubwa wkt Prof Safari wala hakuonyeshwa ktk taarifa ya habari.Tafadhari naomba maoni yenu.