TBC ni aibu tupu

TBC ni aibu tupu

hapo shida sio camera tu mzee ni kubadilisha mfumo mzima wa kurusha matangazo kwenda HD.anyway serikali haiwezi kushindwa..
 
hapo shida sio camera tu mzee ni kubadilisha mfumo mzima wa kurusha matangazo kwenda HD.anyway serikali haiwezi kushindwa..

Tbc tayari wana mfumo wa hd. Ni camera walizotumia labda ndo zina shida.

Hivi bado kuna watu wanaangalia tbc? Ni sawa na kuangalia channel 10 unategemea kuona nini zaidi ya story za upande mmoja?
 
Ni aibu kuona TBC Bado inatumia camera zenye ubora mdogo wao bora sauti isikike ubora picha tutatafuta sisi watazamaji ni kwamba serikali imeshindwa kabisa kuboresha
Ukute vofaa bora viliandikiwa,tatizo yule aliyeenda kununua akachukua vya bei ndogo.
 
kabisa kuboresha
Kwa hiyo Pascal Mayalla alitudanganya?
===
 
Tbc tayari wana mfumo wa hd. Ni camera walizotumia labda ndo zina shida.

Hivi bado kuna watu wanaangalia tbc? Ni sawa na kuangalia channel 10 unategemea kuona nini zaidi ya story za upande mmoja?
Hana huo mfumo ni janja janja tu
 
Tbc tayari wana mfumo wa hd. Ni camera walizotumia labda ndo zina shida.

Hivi bado kuna watu wanaangalia tbc? Ni sawa na kuangalia channel 10 unategemea kuona nini zaidi ya story za upande mmoja?
sasa kama wamegaramia mfumo wa HD halafu wameshindwa kununua camera watakua wehu..
 
Kwa hiyo Pascal Mayalla alitudanganya?
===
Hiyo mechi hawarushi wao live ni vile tu hawana mfumo wa HD
 
Ni aibu kuona TBC Bado inatumia camera zenye ubora mdogo wao bora sauti isikike ubora picha tutatafuta sisi watazamaji ni kwamba serikali imeshindwa kabisa kuboresha
Ni kweli,ila kamera moja ambayo ina kila kitu ni milioni 500 na studio inatakiwa iwe nazo kama 20,na studio camera kila moja ni 1 bilion na zitakiwa 8
 
Ni kweli,ila kamera moja ambayo ina kila kitu ni milioni 500 na studio inatakiwa iwe nazo kama 20,na studio camera kila moja ni 1 bilion na zitakiwa 8
Kama tunaweza kuprint mabango nchi nzima barabaran , kulipa machawa, vikundi, vyenye majina ya kusifu, plate no za 20 25 -20 30 tunashindwa vipi camera tu
 
Jisogeze azam spotsi babaa ni hd mwanzo mwisho mbungi ni tamu kama za uefa
 
Back
Top Bottom