Tbc na uchakachuaji wa habari za udom

Chief-Mkwawa

Platinum Member
May 25, 2011
30,715
39,798
kwa mara nyengine tbc yaitia kapuni habari ya maandamano udom, je sisi hatuna haki? Wajameni aarrrghhh
 
je kama hawajaipata utajuaje?mbona tunapenda kusema vitu vya uongo?hizi ni tabia ambazo si za kisomi
 
je kama hawajaipata utajuaje?mbona tunapenda kusema vitu vya uongo?hizi ni tabia ambazo si za kisomi
uliangalia kweli tbc habari vizuri hiyo jana? kwa taarifa yako hadi kwenye muhtasari wao waliisoma na picha zikaonyeshwa!cha ajabu habari haikusomwa..
 
Join Date : 13th June 2011
Posts : 1
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
[h=2]je kama hawajaipata utajuaje?mbona tunapenda kusema vitu vya uongo?hizi ni tabia ambazo si za kisomi[/h]Mangimoshi ndo umejiunga leo na unaanza na kasi hivi kwenye post yako ya kwanza kabisa??? Hata hivyo Karibu sana jamvini
 
kwa mara nyengine tbc yaitia kapuni habari ya maandamano udom, je sisi hatuna haki? Wajameni aarrrghhh





MBONA MIMI NILIKUONA WEWEEE KATIKA HIYO TAARIFA YA HABARI YA TBC....???
 
Back
Top Bottom