Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,798
kwa mara nyengine tbc yaitia kapuni habari ya maandamano udom, je sisi hatuna haki? Wajameni aarrrghhh
uliangalia kweli tbc habari vizuri hiyo jana? kwa taarifa yako hadi kwenye muhtasari wao waliisoma na picha zikaonyeshwa!cha ajabu habari haikusomwa..je kama hawajaipata utajuaje?mbona tunapenda kusema vitu vya uongo?hizi ni tabia ambazo si za kisomi