MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
mOJA KWA MOJA NINAHISI Waandishi na Tv presenters karibu wote ni wadau wa CCM.mfano jana habari kuhusu CHADEMA saa 2 usiku ilikua kero kupita kiasi, no details on statments.Bora msiseme lolote kuhusu hawa CHADEMA. Mbona jambo lolote kuhusu sie CCM linachukua hata zaidi 1.5?.Mnakera watanzania na kodi zao.Jirekebisheni kwa hili ili mkubalike kama mwazo. always it is not fair news on side of CHADEMA