TBC mnatuaibisha na live show

TBC mnatuaibisha na live show

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Niulize tu hiki cha kurusha mechi live haioneshi muda,hamna magoli wala majina ya timu hamnna mnautangazia umma hii nchi haina wataalamu wa IT,hamna hela za kuajiri wasomi wenye ujuzi wakasaidia kuweka programu kweli ikaonekana thamani yake ama ndo mnataka tuwaeleweje?

Kweli kwenye hii karne ya 21 katika hizi zama za dijitali bado mmeendelea kutokubadilika na kutuonyesha picha za miaka ya 47.. Hizo pesa zetu za kodi mnatumia kufanyaje?
 
Hilo ni tatizo kubwa kwani linapunguza ladha ya mchezo, tumekuwa tukiulizana hapa hivi bao la kwanza lilifungwa dakika ya ngapi, hakuna mtu aliyeweza kujua.
 
Back
Top Bottom