Ya msingi kama yapi?
Mkuu, hivi siku hizi kuna mashuka meusi?Mbona wanachama wamevaa mashuka meusi?
Watoke zao huko,wanaacha kuturushia mambo ya msingi,wanaturushia hayo mafisadi!
Ya msingi kama yapi?
Hongera dana amkuu. Tujuze kila kinachoendelea kwa manufaa ya Watanzania wengiVikundi vya sanaa ndo vinaanzakuburudisha
Duh Mkuu, unanitonsha majeraha. Niliumia sana kutoka sare na wale Wamakonde wa MsumbijiTaifa stars vs mozambique
Vikundi vya sanaa ndo vinaanzakuburudisha
Mkuu, angekuwa kichaa chama na Rais wangemuamini? Na je watu wangejazana uwanjani kumuangalia na kumsikiliza?Ukae kabisa unamsikiliza kichaa
Mkuu, kama wewe huna interest, ni vema ukajiweka kandounamuupdate nan huu uharo?
Mkuu, hivi siku hizi kuna mashuka meusi?