X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Great comment Recta, tulimhukumu mwenzetu mapema ila nia yake yawezekana ilikuwa njema tu...
Yani kashindwa kutetea hoja yake mpaka kajitokeza wakili wa kumtetea?
Tumsubiri mwenyewe aje atu'habarishe nia na madhumuni yake ni yepi.