Netanyahu
Senior Member
- Oct 2, 2008
- 147
- 25
TBC ni television ya Taifa inayorusha matangazo yake kimataifa kupitia satellite na hivyo kuonekana nchi nyingi sana duniani ambazo haziongei Kiswahili na hazijui neno hata moja la Kiswahili.
Hivi lengo la TBC kuingia katika anga za kimataifa ni kitu gani? Nilitarajia kama TV ya kimataifa inayoonekana kimataifa ingetumia lugha za kigeni muda wake mwingi kutangaza vivutio vya Tanzania bidhaa za Tanzania na vitu vizuri vya Tanzania ili kuifanya Tanzania ionekane vizuri na kuvutia wawekezaji,wanunuzi wa bidhaa na huduma na kupunguza gharama za nchi kujitangaza kwenye TV kama CNN na kadhalika.Pia kama TV ya kimataifa ionekanayo nchi nyingi duniani ingekuwa aggressive kutafuta matangazo ya biashara ya makampuni makubwa ya kimataifa na kuyatangazia na kupata pesa nyingi za kigeni na kulifanya shirika lijiendeshe kibiashara kwa kuwavutia kuwa TV hiyo inaonekana nchi nyingi duniani.
Ajabu TBC imejaa porojo za Kiswahili kama zile za Akina Masanja mkandamizaji zinazopunguza uwezo wa IQ za mtazamaji kufikiri na uswahili mtupu usiokuwa na tija kwa Taifa au watu binafsi.Hata kampuni za kimataifa si rahisi kuipa tenda TBC maana ni TV ya kimataifa inayolenga waswahili wa uswahilini ambao hawawezi kuwa soko kubwa zuri kwao.Shame on you TBC guys.
Hivi lengo la TBC kuingia anga za kimataifa ni kufuata mkumbo au ni nini? Huko TBC kuna wasomi au vihiyo waliokariri masomo ili wapate ajira wafanye kazi kwa ubabaishaji ?
Serikali iwatimue mabosi wa TBC na bodi yao itafute wengine ambao wanaelewa unapoingia anga za kimaifa kwenye televisheni unataka nini.
Hivi lengo la TBC kuingia katika anga za kimataifa ni kitu gani? Nilitarajia kama TV ya kimataifa inayoonekana kimataifa ingetumia lugha za kigeni muda wake mwingi kutangaza vivutio vya Tanzania bidhaa za Tanzania na vitu vizuri vya Tanzania ili kuifanya Tanzania ionekane vizuri na kuvutia wawekezaji,wanunuzi wa bidhaa na huduma na kupunguza gharama za nchi kujitangaza kwenye TV kama CNN na kadhalika.Pia kama TV ya kimataifa ionekanayo nchi nyingi duniani ingekuwa aggressive kutafuta matangazo ya biashara ya makampuni makubwa ya kimataifa na kuyatangazia na kupata pesa nyingi za kigeni na kulifanya shirika lijiendeshe kibiashara kwa kuwavutia kuwa TV hiyo inaonekana nchi nyingi duniani.
Ajabu TBC imejaa porojo za Kiswahili kama zile za Akina Masanja mkandamizaji zinazopunguza uwezo wa IQ za mtazamaji kufikiri na uswahili mtupu usiokuwa na tija kwa Taifa au watu binafsi.Hata kampuni za kimataifa si rahisi kuipa tenda TBC maana ni TV ya kimataifa inayolenga waswahili wa uswahilini ambao hawawezi kuwa soko kubwa zuri kwao.Shame on you TBC guys.
Hivi lengo la TBC kuingia anga za kimataifa ni kufuata mkumbo au ni nini? Huko TBC kuna wasomi au vihiyo waliokariri masomo ili wapate ajira wafanye kazi kwa ubabaishaji ?
Serikali iwatimue mabosi wa TBC na bodi yao itafute wengine ambao wanaelewa unapoingia anga za kimaifa kwenye televisheni unataka nini.
Last edited: