TBC hii ni too much sasa

TBC hii ni too much sasa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,888
Reaction score
831,225
Haiwezekani habari za kitaifa zote zihusiane na ccm na hotuba za kumpongeza rais kwa hotuba yake aliyoitoa bungeni juzi
Watendeeni haki watanzania hicho ni kituo cha tv cha Taifa na si cha ccm
Mkurugenzi Mshana unatuabisha washana (The Smithians) wafua vyuma hatuko hivyo tafadhali
 
We naye unaangalia lui TV la kisenge kama hilow . Watu tushalitoaga hatahâta ktk vingamuzi chukua hatua b4 its tooo late
 
Wewe naona unaona raha kulalama kila siku
 
We naye unaangalia lui TV la kisenge kama hilow . Watu tushalitoaga hatahâta ktk vingamuzi chukua hatua b4 its tooo late
Ni leo tu nilifikiri watakuwa wamebadilika
 
Sasa kama hotuba ya Rais wengi wamefurahishwa nayo. Unataka waoneshe nini? Na hotuba ya rais ndiyo mpango mzima
 
nawashauri wafanya biashara wote angarieni tv za kupeleka matangazo yenu tv zingine hazitizamwi hata na watoto
tbc tv na tbc fm hawana tofaut na uhuru fm
watanzania tupinge hili kwa kutotizama na kusikiliza vituo hiv mpaka wajilekebishe
 
Kaangalie hata ITV yuko mzee mengi huko anaongea hata nusu ya kipindi yeye tuu
 
Haiwezekani habari za kitaifa zote zihusiane na ccm na hotuba za kumpongeza rais kwa hotuba yake aliyoitoa bungeni juzi
Watendeeni haki watanzania hicho ni kituo cha tv cha Taifa na si cha ccm
Mkurugenzi Mshana unatuabisha washana (The Smithans) wafua vyuma hatuko hivyo tafadhali

pole zako mkuu..
 
tv ya k.i.s.e.n.ng.e bz inaendeshwa na w.a.s.e.n.g.e.
 
Back
Top Bottom