sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Daaaaaaaaaaaa bado mnaangalia TBC 1 hadi leoooooooo,mi nilisha acha kuangalia hiyooooooooooooooooooooooooooooo
Juzi pia gazeti la mwananchi lilioandika habari za masha kung'oa Vitasa jamaa alitaka kulisoma lakini akaichunia hiyo habari muhimu kabisa iliyokuwa ukurasa wa mbele kwa herufi KUUBWAAAA!
Halafu wanajamvi naona imepitishwa rasmi sasa vituo vyote vya TV kwamba ni marufuku kusoma magazeti ya Raia Mwema na Mwanahalisi siku ya Jumatano yanapotoka.