Mh wamefika huku hatari Sana!Sijui ni ushamba au kutaka kuonekana wa kisasa sanaa sawa mmeweka jiko la mapishi studio sawa ila kwanini watangazaji wanakula huku wanatangaza na vipande vya sambusa mdomoni kama huyu jamaa hapa aligeuka
USSRView attachment 2079008
Afadhali wapo relaxed siku hizi.Sijui ni ushamba au kutaka kuonekana wa kisasa sanaa sawa mmeweka jiko la mapishi studio sawa ila kwanini watangazaji wanakula huku wanatangaza na vipande vya sambusa mdomoni kama huyu jamaa hapa aligeuka
USSRView attachment 2079008
kumbe kuna umri maalum wa kuangalia TBC1Bora yako ushafikia umri wa kuangalia TBC
wanasema nikuanzia 30 kwenda juukumbe kuna umri maalum wa kuangalia TBC1
Huo uonevu kwetu sasa, mie mbona siangalii mkuu.wanasema nikuanzia 30 kwenda juu
TBC daima wamejizatiti katika kuonyesha kiwango kikubwa cha ulimbukeni, upumbavu na kupitwa na wakati. Na hili wamelilia kiapo kuwa hakuna kituo kingine chochote kitakuja kuwapiku. Hii ni channel ya ovyo kupita maelezo.Sijui ni ushamba au kutaka kuonekana wa kisasa sanaa sawa mmeweka jiko la mapishi studio sawa ila kwanini watangazaji wanakula huku wanatangaza na vipande vya sambusa mdomoni kama huyu jamaa hapa aligeuka
USSRView attachment 2079008
Tupo wengi but. #Tulia_Speaker_ajae#Duh kumbe kuna watu wanafuatiliya TBC.1
bac ndo unatakiwa uanze maana maudhui yao ni elekezi kwa umri kuanzia 30Huo uonevu kwetu sasa, mie mbona siangalii mkuu.
nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana! Ntaanza kuangalia mkuu...bac ndo unatakiwa uanze maana maudhui yao ni elekezi kwa umri kuanzia 30