Nimemshuhudia msichana mmoja kutoka Ghana akiwa na sindano mwilini(kwa mamia ) ktk picha ya Xray na zingine akiwa nazo mkononi(kumi na nane) baada ya kufanyiwa surgery huko kwao Ghana. Tunasubiri ktk prayer line kufanyiwa maombezi i.e. Deliverance
...mkuu nigeria mbali sana,nimemuona kwa macho yangu kijana anaombewa kule temeke dsm akatoa sindano kwenye dole gumba la mguu,machozi ya damu n.k, alikuwa member wa freemasons...
Nimemshuhudia msichana mmoja kutoka Ghana akiwa na sindano mwilini(kwa mamia ) ktk picha ya Xray na zingine akiwa nazo mkononi(kumi na nane) baada ya kufanyiwa surgery huko kwao Ghana. Tunasubiri ktk prayer line kufanyiwa maombezi i.e. Deliverance
Nimemshuhudia msichana
mmoja kutoka Ghana akiwa na sindano mwilini(kwa mamia ) ktk picha ya
Xray na zingine akiwa nazo mkononi(kumi na nane) baada ya kufanyiwa
surgery huko kwao Ghana. Tunasubiri ktk prayer line kufanyiwa maombezi
i.e. Deliverance
mungu wetu ni wa ajabu matendo yake hayachunguziki sifa na utukufu apewe bwana binti wa watu kachafuliwa tumbo na mishono na madactari wa dunia daktari bingwa Yesu kamaliza ugonjwa wote tusiogope maneno ya madaktari kama tuna imani iwezayo kung'oa milima tuishi katika kristo tupate mema kila siku