TB Joshua....Emmanuel TV

TB Joshua....Emmanuel TV

kb52

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
336
Reaction score
110
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
 
kwa nini usisimame mwenyewe katika imani.....hebu simama katika huu mstari uone kama hujapata kazi ndani ya wiki.......

John 14:13-14
And I will do whatever you ask in my name, so that the father may be glorified in the Son
If you ask me anything in my name, I will do it
 
Amen Amen my precious sister Pareta. Thanks alot for those healing words. I ve received it IJMN. God bless you!!...Again thanks for such a momentus advice...thanks so much!!...
 
Amen Preta, kb52 calm down mwamini Mungu wako mwombe akupe imani,simama kwenye neno na ikibidi nenda kwa mtumishi atakupa mistari na neno la kusimamia.. By the way subiri mwakasege anaanza semina tarehe 8-15 september 2013 na kutakua na semina ya vijana tarehe 14/9/2013 na huwa anawapa sana vijana jinsi ya kusimama hasa kuhusu kazi na uongozi, see you there mkuu usitangetange.
 
Nashukuru sana Bebs. Barikiwa sana. Ushauri mzuri.
 
Ushauri mbaya huo dada rushanju. Ushauri mavi mavi huo.
 
A bigger manifesting Amen for that bro. Received with much thanks. God bless you richly!!
 
Just have a faith in Jesus,not on emmanuel tv,emmanuel tv is just there as media,as we know God just use a media like water,mad, bonds,clothes,and other things like that. So believe in Jesus, and don't ever speak bad things about the man of God!
 
do not mock the Almighty GOD. Our father language is " i've authority " in Jesus Name. Soma biblia kukuza imani yako mpendwa unapoelekea utaanza kumuabudu mtu badala ya MUNGU.
 
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
Kaka kb52 jaribu kujichunguza. Usije ukawa kama mwanamke ambaye hajaolewa lakini anamwomba Mungu apate mtoto. Mungu pia ana principles, ambazo hata kwa logic za kibinadamu ni sahihi. Kwani waweza kuvua samaki baharini kwa chekeche ya unga?
 
Last edited by a moderator:
Nimeshashika sana screen ya TV wakati anaomba ili nipate kazi lakini wapi??..yerewiiiii....majanga mbona majanga mwenzenu. Wanasema God's time is the best. Nataka niende pale kwa Reinard Bonke nikajaribu kuombewa but nasikia mastory yake tena mara ooh..alishawahi kukamatwa anaingiza sembe bongo...mara ooh..sijui eti eti hana upako sana...yan mpaka nachanganikiwa...yan full mastory. .mavimavi tu. Sio kwamba simwamini Mungu but sasa ivi kuna wachungaji wengi sana wanatumiwa na ibilisi. ...so yatupasa kua makini sana. Nani hapa anamjua Bonke vizuri......anikomvinc kupitia miujiza yake...
Kaka kb52 jaribu kujichunguza. Usije ukawa kama mwanamke ambaye hajaolewa lakini anamwomba Mungu apate mtoto. Mungu pia ana principles, ambazo hata kwa logic za kibinadamu ni sahihi. Kwani waweza kuvua samaki baharini kwa chekeche ya unga?
 
Last edited by a moderator:
Stand alone...usimtegemee binadamu mwenzio akuombee..eti emmanuel tv...sijuui mwakasege...hao watakuombea lkn km huna imani ni bure...jiombee mwenyewe piga goti kwa Mungu..funga...mlilie Mungu kwa sala zoteee..uone km hatojibu..ukisubiri kuombewa utasubiri sanaa...
 
endelea kuwa na imani ndugu utafanikiwa, yesu amewasaidia watu wengi kupitia Man of God, T.B. Joshua.
 
Back
Top Bottom