TB Joshua akamatwa!

TB Joshua akamatwa!

Status
Not open for further replies.
Wewe kibaraka wa TB Joshua unayekesha hapa kujaribu kumsafisha TB Joshua, nakuambia unajidanganya mwenyewe. Mungu hadhihakiwi, kama udanganyifu wa Babu wa Loliondo ulivyofikia kikomo, vivyo hivyo udanganyifu wa TB Joshua umefikia kikomo. Mungu wa kweli ameipiga chini huduma ya nabii huyu feki, wala haiwezi kusimama tena!!! Biashara yake ya kutabiri maafa, na biashara yenu ya kuuza maji yake ya upako wa Ibilisi, imedoda!!!! Tafuteni biashara nyingine!!!!

hahahaha una macho au matoke? hahaha hukuona kuwa kanisa ndo linafurika mara dufu saivi hahaha, wageni ndo hadi booking ipite ni miezi hahahaa. eti imefikia ukomo au wewe macho yako yamefikia ukomo?
 
Tatizo unadhani na hii ni mijadala ya katiba hahaha! Ya ulimwengu wa roho huyawezi hahaha.
Ni kweli kabisa hayo unayosema ni ya kiroho na hakuna lisilo la kiroho tatizo ni roho ipi???
Ni roho ya aina gani ipo kwako inayofanana na ile iliyomo kwa TB??
Ni roho gani inaweza kukusanya watu harafu waauawawa??
Roho ya mauaji ni ipi basi??
 
sijawi kuona hawa wanaojiita watumishi wa mungu wakawa na akili sawa sawa.
 
hahahaha una macho au matoke? hahaha hukuona kuwa kanisa ndo linafurika mara dufu saivi hahaha, wageni ndo hadi booking ipite ni miezi hahahaa. eti imefikia ukomo au wewe macho yako yamefikia ukomo?
Sifa ya ibilisi ni kucheka tu !!! Wewe hujibu hoja kila siku na kila daika unakuja na agenda ya TB na kumungua Thread sisizo kwisha sasa ungekuwa na jambo la kuaminisha tungeamini tu lakini wewe una haha humu ???
 
Ndungu yangu wamekufa watu zaidi ya 100 hapo .
Je Mungu anawezakuachia hilo lifanyike kwa Mtumishi wake??
Wewe huwezi kujifunza hapo??
Yaani watu wakusanywe kwa ajiri ya Neno la Mungu harafu wauawe hapo??
Tunajua watu waliokufa kama hapo ni wale wa Sodoma na Gomora, Gharika, Babeli nk. Sasa unapaswa kufikiria mara mbili hapo kwa TB kuna dhambi gani??

KING KOBRA;
Nimejitahidi sana kuisoma Thread yako nkashindwa kukuelewa. Una maana kuwa hakuna mahali ambapo watu wamefia kwenye majumba ya ibaada bila dhambi??
Swali la kizushi tu; Je wale waliouawa kwa bomu pale Olasiti Arusha, hawa walikuwa na dhambi gani ndugu yangu? Mbona yule kiongozi wa sala (Askofu na mwakilishi wa Vatican) hawakuweza kubaini kuwa kuna bomu litatupwa pale na kuua?
Jamani, let us be realistic. Tusijisumbue na mambo ya Mungu. Huwezi ukamwuliza kwa nini hukutuonesha wala kutuonya. Jambo bora ni kusema; Bwana, mapenzi yako yafanyike.
Acheni kumkebehi huyo mtumishi wa Mungu. Kwako aweza kuwa tapeli ila kwa wengine ni Mtumishi wa Mungu aliye hai. Tusihukumu tusije hukumiwa.
 
kwasababu nawewe hauna akili sawa sawa hahaha
Acha kucheka cheka Jibu hoja!!
TB Johua ni nani?? Kwa nini unadanganya watu humu ?? Vifo vya watu zaidi ya 100 ulishaona ona mikonani mwa Mtumishi yupi ndani ya bible ?? Kaa utafakari kabla ya kujibu
 
Halleluya..... IT'S WELL.
No matter what is look like in our natural eyes, IT'S WELL.
Because our troubles make us to be knwon all over the world.

IT'S WELL...........................
 
KING KOBRA;
Nimejitahidi sana kuisoma Thread yako nkashindwa kukuelewa. Una maana kuwa hakuna mahali ambapo watu wamefia kwenye majumba ya ibaada bila dhambi??
Swali la kizushi tu; Je wale waliouawa kwa bomu pale Olasiti Arusha, hawa walikuwa na dhambi gani ndugu yangu? Mbona yule kiongozi wa sala (Askofu na mwakilishi wa Vatican) hawakuweza kubaini kuwa kuna bomu litatupwa pale na kuua?
Jamani, let us be realistic. Tusijisumbue na mambo ya Mungu. Huwezi ukamwuliza kwa nini hukutuonesha wala kutuonya. Jambo bora ni kusema; Bwana, mapenzi yako yafanyike.
Acheni kumkebehi huyo mtumishi wa Mungu. Kwako aweza kuwa tapeli ila kwa wengine ni Mtumishi wa Mungu aliye hai. Tusihukumu tusije hukumiwa.
Sasa kama kwake au kwako wote munamwita TB ni Mtumishi na kama hilo halina shida kwa nini aje hapa kutuaminisha sisis tusiomwamini ???
Mimi nahoji hayo maswali na nimesema atoe reference kutoka kwenye bible labda hawezi kutoa kwenye bible .
Kama na wewe unaweza basi nisaidie utoe kwenye bible ushahidi ambapo Mungu aliyehai alikusanya watu harafu wakafa zaidi ya 100.
Mimi nitakupa ushahidi ambapo shetani alikusanya watu wakamuasi Mungu harafu wote wakaangamia!!
Hususani huo ni ushahidi wa dhati kuwa TB amekuwa anakusanya watu kwa misingi ya dhabi na sasa wana angamia !!
Sasa hiyo ni taa nyekundu!!!
 
acha kucheka cheka jibu hoja!!
Tb johua ni nani?? Kwa nini unadanganya watu humu ?? Vifo vya watu zaidi ya 100 ulishaona ona mikonani mwa mtumishi yupi ndani ya bible ?? Kaa utafakari kabla ya kujibu

let love lead.
 
Tangu tukio la kuanguka jengo litokee, TB Joshua ameonekana kuwa mwenye uchungu sana hali iliyopelekea awe mbele za Mungu kwa wakati wote.

Kitendo hicho kimepelekea TB Joshua kukamatwa na nguvu ya Mungu mara dufu, sasa anatisha sana! Shetani anasota mno, hata akikuombea kwa TV tu unapokea nguvu ya ajabu hapohapo. Hatari sana! Karibuni naangalia ujumbe wake wa jumapili ya tukio alioutoa.

Emmanueeeeeeeeeel-God with us!

Unadhani siku ya hukumu utaulizwa kama ulikua mfuasi wa TB Joshua?yachunguze maandiko then ukiyajua hutakaa kumtegemea mtu kukuombea au kwenye majaribu!
 
Sasa kama kwake au kwako wote munamwita TB ni Mtumishi na kama hilo halina shida kwa nini aje hapa kutuaminisha sisis tusiomwamini ???
Mimi nahoji hayo maswali na nimesema atoe reference kutoka kwenye bible labda hawezi kutoa kwenye bible .
Kama na wewe unaweza basi nisaidie utoe kwenye bible ushahidi ambapo Mungu aliyehai alikusanya watu harafu wakafa zaidi ya 100.
Mimi nitakupa ushahidi ambapo shetani alikusanya watu wakamuasi Mungu harafu wote wakaangamia!!
Hususani huo ni ushahidi wa dhati kuwa TB amekuwa anakusanya watu kwa misingi ya dhabi na sasa wana angamia !!
Sasa hiyo ni taa nyekundu!!!

ooooh! Shetani na mama mkwe wake wanalia, Shetani na mama mkwe wake wamekalia misumari, Walijua wanaSCOAN na Tb Joshua tutashindwa lakini sasa twasonga mbele na wema wa Mungu umetuzunguka.

Chezea Jehova wewe.......
 
KING KOBRA;
Nimejitahidi sana kuisoma Thread yako nkashindwa kukuelewa. Una maana kuwa hakuna mahali ambapo watu wamefia kwenye majumba ya ibaada bila dhambi??
Swali la kizushi tu; Je wale waliouawa kwa bomu pale Olasiti Arusha, hawa walikuwa na dhambi gani ndugu yangu? Mbona yule kiongozi wa sala (Askofu na mwakilishi wa Vatican) hawakuweza kubaini kuwa kuna bomu litatupwa pale na kuua?
Jamani, let us be realistic. Tusijisumbue na mambo ya Mungu. Huwezi ukamwuliza kwa nini hukutuonesha wala kutuonya. Jambo bora ni kusema; Bwana, mapenzi yako yafanyike.
Acheni kumkebehi huyo mtumishi wa Mungu. Kwako aweza kuwa tapeli ila kwa wengine ni Mtumishi wa Mungu aliye hai. Tusihukumu tusije hukumiwa.
Maji anayotengeneza TB , Wakatoliki wanakunywa??
Maji baraka za katoliki yanayotengeneza katoliki TB Joshua anakunywa??
Unakumbuka Paroko aliyewacharaza Wasabato Sumbuwanga??
 
KING KOBRA;
Nimejitahidi sana kuisoma Thread yako nkashindwa kukuelewa. Una maana kuwa hakuna mahali ambapo watu wamefia kwenye majumba ya ibaada bila dhambi??
Swali la kizushi tu; Je wale waliouawa kwa bomu pale Olasiti Arusha, hawa walikuwa na dhambi gani ndugu yangu? Mbona yule kiongozi wa sala (Askofu na mwakilishi wa Vatican) hawakuweza kubaini kuwa kuna bomu litatupwa pale na kuua?
Jamani, let us be realistic. Tusijisumbue na mambo ya Mungu. Huwezi ukamwuliza kwa nini hukutuonesha wala kutuonya. Jambo bora ni kusema; Bwana, mapenzi yako yafanyike.
Acheni kumkebehi huyo mtumishi wa Mungu. Kwako aweza kuwa tapeli ila kwa wengine ni Mtumishi wa Mungu aliye hai. Tusihukumu tusije hukumiwa.

Achana naye, anajitoa ufahamu tu hana lolote. Asante Kwa kumsaidia kukumbuka na kumfikirisha kidogo
 
Unadhani siku ya hukumu utaulizwa kama ulikua mfuasi wa TB Joshua?yachunguze maandiko then ukiyajua hutakaa kumtegemea mtu kukuombea au kwenye majaribu!

Pigo jingine kwa shetani na vibaraka wake, Emmanuel...................
 
ooooh! Shetani na mama mkwe wake wanalia, Shetani na mama mkwe wake wamekalia misumari, Walijua wanaSCOAN na Tb Joshua tutashindwa lakini sasa twasonga mbele na wema wa Mungu umetuzunguka.

Chezea Jehova wewe.......
Ni
Ni kweli kabisa shetani ni lazima asomge mbele na watu wake!!
Ukikataa neno Mungu ana achia roho ya upotevu na tazama kuna njia mbili:
Njia pana wana pita wengi na kusonga mbele lakini ile njia nyembamba wanaopita ni wachache!
Hvyo kusonga kwenu mbele kwa faa sana kama munasonga kwenye njia nyembamba indayo uzimani
 
Pigo jingine kwa shetani na vibaraka wake, Emmanuel...................
Hapa kila mtu anamwita mwenzake Shetani sasa watu zaidi ya 100 wameuawa mikononi mwa TB Joshua na hiyo ni taa nyekundu
Babu wa Loliondo alikusanya watu na kuwanywesha Kikombo wamefia watu wengi kule na TB naye kakusanya watu kule Nigeria sasa yaleyale!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom