nadhani uko sahihi, ngoja nione yakitoka Buguruni kwenda Mjini au airport yatakuwa hayakwami? hivyo hivyo kutoka airport kwenda Ubungo/Mbagala yatakuwa hayakwami? tibangayukaFoleni inakuwa kubwa wakati magari ya Mandela Road inabidi yasubiriane na ya Nyerere Road ili kupita Tazara. Sasa kusubiriana kupita hapo Tazara hakutakuwepo tena hivyo flow ya traffic itakuwa ni nzuri. Tatizo Pekee ninaloliona ni kwamba pale Buguruni patakuwa panatia giza na Tabata Dampo pia.
Tiba