mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,788
- 131,996
Mimi nangoja ianze kutumika nione suluhisho la foleni litakuwaje ndiyo ntakuja kutoa sifa au la!Acha vituko wewe...magari bado hayajaanza kupita.
Ova
Mimi nangoja ianze kutumika nione suluhisho la foleni litakuwaje ndiyo ntakuja kutoa sifa au la!Acha vituko wewe...magari bado hayajaanza kupita.
Angalizo tu!wasije kuwalipisha wenye magari wakiwa wanatumia flyover,Ni wazi foleni itapungua. Ila haiwezi kwisha na hamna mji mkubwa duniani usio na foleni.
Sasa nitalifaje? Wenye magari ndio mtakufa sana mtataka kukimbizana kule juuwewe mzee Unajitafutia kifo tu
Mkuu mkopo ni biashara wa Japan watatoa tu mkopo hata ukiwapa utafiti wa uongo hawata kukutalia....ila mie naawakika daraja kama hilo hawawezi kilijenga kwaoWewe unaamini Japan wametoa huo mkopo/msaada bila kupitia au wao kufanya upembuzi yakinifu wao? Hivi kwanini tunapenda kujifanya tuna akili kuliko hata wataalam wanaotekeleza hio miradi?
kwahiyo wewe mwenye bicycle unaamini kuwa utabaki salama ""!!? maana kule juu " ni mwendo WA kasi kubwa ukipita kule na bicycle yako " siitakuwa waiweka roho yako " mashakaniSasa nitalifaje? Wenye magari ndio mtakufa sana mtataka kukimbizana kule juu
Tunaplan ya kujenga vituo vya kukata tiketi mwanzoni na mwishoni mwa daraja la Tazara.Angalizo tu!wasije kuwalipisha wenye magari wakiwa wanatumia flyover,
Nawaza tu maana nchi hii haitabiriki....
Ova
Duh haya yetu machoTunaplan ya kujenga vituo vya kukata tiketi mwanzoni na mwishoni mwa daraja la Tazara.
itapunguza kwa 80%,mambo makubwa yanakuja ubungo interchange ya gorofa tatu,kuingia dar itakuwa mpaka upate semina elekezi ya mishale vinginevyo utajikuta unarudi kimara kwa kukosea njiaNilitegemea angalau kwa kuanzia kitu kama hiki pale Tazara lakini .. hapa Ni Bangkok ndiyo walikuwa wanaanza baada ya magari kuwa mengi.
Swali, kweli daraja hili litapunguza msongamano Tazara?
![]()
bangkok walijenga flyover all the way from City centre to AirportNgoja tuone.
Foleni inakuwa kubwa wakati magari ya Mandela Road inabidi yasubiriane na ya Nyerere Road ili kupita Tazara. Sasa kusubiriana kupita hapo Tazara hakutakuwepo tena hivyo flow ya traffic itakuwa ni nzuri. Tatizo Pekee ninaloliona ni kwamba pale Buguruni patakuwa panatia giza na Tabata Dampo pia.Yes, kwa ufinyu wa barabara zetu you can equate it to Bangkok. Hivi magari yanayotoka Buguruni/Mbagala msongamano utapunguaje maana hiyo flyover ni along Nyrere road! Nieleweshe please