huenda kuku hizo zimekufa kwa kimeta au kideriTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Hivi ni kuku wangu au kuku zangu?huenda kuku hizo zimekufa kwa kimeta au kideri
Ipo sahihi unakuku nane na umewauza kwa 0 so nane mara mauzo ya 0 utapata 0 mkuuTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
una hoja usikilizwe,usipojibiwa na wanaojiita vichwa basi tumedanganywa vya kutosha kuhusu hili iltakiwa 0 times 8 ndo iwe 0 sio 8 times 0Tazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
sina hakika sana,Hivi ni kuku wangu au kuku zangu?
Ngoja hiyo elimu nimpe BICHWA KOMWE - ili mtoto wa kiume tutakayemzaa asikose mambupu na kuanza kuwa na sauti nyororo za kumvutia hadi nyoka.Zimemezwa na sexer secretarybird mume wa BICHWA KOMWE -
Hahahaha utajua hujui nasikia IFM π wamekichafua hukoNgoja hiyo elimu nimpe BICHWA KOMWE - ili mtoto wa kiume tutakayemzaa asikose mambupu na kuanza kuwa na sauti nyororo za kumvutia hadi nyoka.
Sifuri maana yake hakuna kitu,. Jaribu kinyume chake Yani 0 x 8. Jibu Ni sifuriTazameni Uongo Wa Mathematics
Eti: 8 x 0 = 0
Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?π€
Excellent boy8 Γ 0 =0
Why?
0Γ0Γ0Γ0Γ0Γ0Γ0Γ0=0