- Thread starter
- #41
Exactly! kuna watu mnaelewa vizuri sana!Binadamu bana yeye amemaanisha kuwa kwenye maisha kuna kipindi Mungu anakubariki unajikuta umepata pesa nyingi au kazi nzuri au mazao mengi lakini huitumii iyo fursa kuendeleza ulichopata haimaanishi hutapata tena ila hautakuja kupata kama ulichokipata mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app