Tazama dunia ilivyo bluu, new released image

Mbona hiyo pic ya kwanza kama kuna mahi meusi kwa chini?

Upigaji wa picha ya kwanza ulikua ni wa uviziaji....Kifaakilichokua kinapiga picha kina zunguuka mwezi, halafu mwezi unaizunguka dunia....nia ya hii picha ilikua nikupata picha ya dunia inayopigwa mwanga wa jua kutoka upande wa pili wa mwezi ....kinachoonekana sio maji ...ni bonde katika mwezi ambalo lina giza



 
eeeh. juzi nilipost mada hapa kuwa anga ni ya bluu, watu wakanijia macho juu juu ooh K 4 LIFE muongo mara hujui geography, sasa jamaa kapost hii image kuwa kuna rangi ya bluu, bisheni tena hapa, halafu na wewe mleta mada mbona kama umecopy na kupest mada yangu ya juzi?
 
Asante kwa picha....ila sijaelewa tofauti ya picha inasababishwa na nini.

Je ni madariko ya tabia nchi au technologia

Jibu ni kuwa zamani hawakuwa na camera zenye resolution bora kama sasa. Muonekano wa picha za sasa ni clear zaidi ya miaka ya nyuma
 
Navyojua mimi maji hayana rangi (colourless)

Ni kweli maji hayana rangi lakini kwa wingi wake ukisimama pembeni ya bahari unayaona ni bluu, the same kwenye picha itatokea hivyo hivyo, maana hata ukiemda baharini ukichota kidogo kwenye mkono utayaona hayana rangi
 

hahahah Big up K 4 life.....mkuu ila mie nimeongelea picha za jana kutoka NASA wakisema dunia ni 'ultimate blue marble' naamini wewe uliongelea mawingu ya bluu....

Kuna tofauti kubwa mkuu....ni coincidence tu mkuu
 
75% ni maji!
anga ni la blue!
Ni lazima itareflect!
EARTH MUST SEEN IN BLUE!

As if we shared the bullet. Kwa geography yng ya O level dunia imefunikwa na maji kwa 71% while the land surface ni 29%
 
hahahah Big up K 4 life.....mkuu ila mie nimeongelea picha za jana kutoka NASA wakisema dunia ni 'ultimate blue marble' naamini wewe uliongelea mawingu ya bluu....

Kuna tofauti kubwa mkuu....ni coincidence tu mkuu

poa mkuu nimekupata pamoja sana
 
Utabidii ufunge safariii angalau uende cocobeach ukashangae bahariii...hlf utajua maji ya bahariii yana rangii gani...
Maji yana rangi????? Si bure we fisi yakupasa urudi tena shule!
 

Ufafanuzi wako ni sahihi. Tofauti kubwa ya hizo picha (ya 1968 na ya sasa) pamoja na uwezo wa kamera zilizotumika, ni uhalisia wa uchafuzi wa hewa toka muda huo hadi sasa. Blue ni kuashiria uwepo na uongezeko wa maji katika sayari yetu Dunia, kutoka na mabadiliko ya Tabia Nchi. Pia upungufu wa wingu kwa sasa pia ni uthibitisho wa uchafuzi wa hewa kutokana na shughuli zetu binadamu kwenye Sayari yetu Dunia.
 
Asilimia sabini Na tano dunia ni Maji Na asilimia Sabin ya Maji ni bahari Na bahari ni ya kijani

Ubluee unatoka wp tena

hahahah umenchekesha sana mkuu, bahari ni yakijani!!!!!!! emb acha utan bnah, upo wap kwanza tuje tuone maj yakijan mkuu, bahari huwa ina reflct ule u blue wa anga ndomana maji huonekana ya blue, sas hilo anga lakijani nataman sana nilione.
chamsingi kweny v2 kama hivi unatia unaeleweshwa taratiiibu ila ukileta ujuaji matokeo yake ndo haya kutuambia bahari yakijani.
 
Maji yana rangi????? Si bure we fisi yakupasa urudi tena shule!

Kweli mm ni fisii kunatofautii .....Hivii ukienda baharinii yale majiii yana rangiii ganiii...ukiangalia majiii kiujumlaa...au hujawahiii ona bahariii
 

big up sana mkuu
 
Kweli mm ni fisii kunatofautii .....Hivii ukienda baharinii yale majiii yana rangiii ganiii...ukiangalia majiii kiujumlaa...au hujawahiii ona bahariii

unaeza ukawa unabishana na m2 yupo nkuhungu huko vjijini na palivo pakame!!! nadhan utakua umenielewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…