Uongo mtupu!!!
ukweli mi upi sasa???
Blue dah! Umenikumbusha mbali sana. Enzi ya shule ya msingi, yaani unafua shati la shule kisha unasuuzia maji yaliyowekwa blue, halafu unapiga pasi (ya mkaa moto magumzi ya mahindi) kisha unalikunja kistadi badae zinatokea ngazi ngazi dah!
Asilimia sabini Na tano dunia ni Maji Na asilimia Sabin ya Maji ni bahari Na bahari ni ya kijani
Ubluee unatoka wp tena
uongo tu. ina maana bara la south america limefunikwa na maji?
Asante kwa picha....ila sijaelewa tofauti ya picha inasababishwa na nini.
Je ni mabadiliko ya tabia nchi au technologia