sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Ninaweza nisieleweke vyema, nina Mwaka mzima napanda Daladala za kutoka Rombo kuja Moshi mjini Kila siku asubuhi mpaka jioni.
Kitu kinachonistajabisha ni hiki, ukitokea njia panda kwenda mjini Moshi Kuna matrafiki kibao, achana nao.
Askari WAKAGUZI WA biashara ya madawa ya kulevya wengi wa kutosha hasa mirungi, mathalani Kuna asakri mmoja huwa nampenda sana Kila shato au aice huwa anaisimamisha na kukagua Kwa kushusha abiria siti ya mbele huku akiinua kuchungulia chini ya siti kuangalia kama Kuna madawa hayo(Askari jeusi fupi Lina Mwili kidgo) Huyu Askari Kuna siku alitaka kuzishusha paspo kujitambulisha ukweli alijua amekutana na kenge maji meupe.
Shangazo;
Ukifika kituo Cha Himo kuanzia barabara inayo panda Marangu kwenda mpaka Marangu ni karibu sana na kituo Cha polisi panakuwa pana Nuka harufu ya mirungi na kiukweli vijana wote wa boda boda kutoka Himo mpaka Marangu mtoni mpaka mwika vijana wote wa boda wanakuwa wanachanja na uzuri zaidi Kuna wanetu wanavaa uniform mchana ila jioni wanachanja nao
Sasa mikwara ya Nini aise? Kutukagua road wakati jioni nyie ni wateja na boda wetu?
Kwa Nini Askari mnaokagua asubuhi hamwezi kagua jioni vijiwe vya boda?
Hizo ndo akili za WAKAGUZI wetu.
Kitu kinachonistajabisha ni hiki, ukitokea njia panda kwenda mjini Moshi Kuna matrafiki kibao, achana nao.
Askari WAKAGUZI WA biashara ya madawa ya kulevya wengi wa kutosha hasa mirungi, mathalani Kuna asakri mmoja huwa nampenda sana Kila shato au aice huwa anaisimamisha na kukagua Kwa kushusha abiria siti ya mbele huku akiinua kuchungulia chini ya siti kuangalia kama Kuna madawa hayo(Askari jeusi fupi Lina Mwili kidgo) Huyu Askari Kuna siku alitaka kuzishusha paspo kujitambulisha ukweli alijua amekutana na kenge maji meupe.
Shangazo;
Ukifika kituo Cha Himo kuanzia barabara inayo panda Marangu kwenda mpaka Marangu ni karibu sana na kituo Cha polisi panakuwa pana Nuka harufu ya mirungi na kiukweli vijana wote wa boda boda kutoka Himo mpaka Marangu mtoni mpaka mwika vijana wote wa boda wanakuwa wanachanja na uzuri zaidi Kuna wanetu wanavaa uniform mchana ila jioni wanachanja nao
Sasa mikwara ya Nini aise? Kutukagua road wakati jioni nyie ni wateja na boda wetu?
Kwa Nini Askari mnaokagua asubuhi hamwezi kagua jioni vijiwe vya boda?
Hizo ndo akili za WAKAGUZI wetu.