Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,569
Tatizo huwa sio kufeli, shida passmark yaani hapo ni kuomba tu passmark ipitie upande wako, lkn pia kuzidi kuomba zaidi ili kupita kwasababu paper inaweza kuwa nyepesi lkn matokeo huwa yanasuprise sana na ishawahi kunitokea. Tuombe sana ndugu zangu kwasababu kwa nafasi zetu mshafanya let the nature decide me huwa naamn km ipoipo tu. God bless all of you guys.Leo tumefanya custom asbh kila mtu anasema ameuona paper iko vzr sas sijui Nani atafeli kwa paper ile
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
