Tax Management Officers tupeane pole

Tax Management Officers tupeane pole

Leo tumefanya custom asbh kila mtu anasema ameuona paper iko vzr sas sijui Nani atafeli kwa paper ile

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tatizo huwa sio kufeli, shida passmark yaani hapo ni kuomba tu passmark ipitie upande wako, lkn pia kuzidi kuomba zaidi ili kupita kwasababu paper inaweza kuwa nyepesi lkn matokeo huwa yanasuprise sana na ishawahi kunitokea. Tuombe sana ndugu zangu kwasababu kwa nafasi zetu mshafanya let the nature decide me huwa naamn km ipoipo tu. God bless all of you guys.
 
Custom huwa haina mambo mengi sana kama Tax Management
Mmmmh,hilo paper inabidi mtu awe amesoma sana kila kipengele,na hayakua that much direct,
Unaweza ona umeflow vizuri kumbe hamna kitu umeingia chaka, pia muda sio rafiki.
I can say waliomaliza shule karibuni wako na ahueni zaidi. Sio wakongwe(kusoma vya ndani ndani huko uongo).
Anyways it is what it is.
 
Mmmmh,hilo paper inabidi mtu awe amesoma sana kila kipengele,na hayakua that much direct,
Unaweza ona umeflow vizuri kumbe hamna kitu umeingia chaka, pia muda sio rafiki.
I can say waliomaliza shule karibuni wako na ahueni zaidi. Sio wakongwe(kusoma vya ndani ndani huko uongo).
Anyways it is what it is.
Hakika sonita nilikuwepo college of informative ,and vitue education pale udom

Je wee ulikuwa ukumbi ganj

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Penalty ya EFD ni kitu cha kukosa? Hahahaha sijui swali limekaaje lakini hata Mimi niliitwa Dodoma lakini sikuweza kuhudhuria

Penalty ya EFD ni kitu cha kukosa? Hahahaha sijui swali limekaaje lakini hata Mimi niliitwa Dodoma lakini sikuweza kuhudhuria
Ungekosa Mkuu.
Hakuna kitu kinaitwa Penalty kwenye EFD. Kuna Fine, Imprisonment au Vyote Kwa pamoja.
 
 
Back
Top Bottom