Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Na mdude ukiwa mkbwa sana ukiupeleka waweza kumsababishia asizae tena tumewaona walioumia na madude makubwa na marefu
Zingatieni ushauri wa ustadh msizidishe dozi
Mtaua jamani
 
Kama ingekua hazirudi ingebaki kama mtoto alivyotoka ingekuwa hatari maana watu badala yabkutafuta haltiti naona wangetafuta ambari
Ila mungu anawapa wepesi kwa kufunguka na jufunga tena mkuu
Hakuna aliyesema kuwa inabaki vilevile laa hasha.

Lakini inarudi kwenye umbo la kibamia baada ya mtoto kupita...?
 
Wewe umekusudia kuwala nini hebu tuanzie hapo
Mkuu, kuwala kitu gani kiongozi nimekuomba ufafanue hujafafanua wala.

Ntamlaje binadam mwenzangu mkuu labda wachawi ndio hula nyama za wenzao mi sijajua unamaanisha kuwalaje kiongozi hebu tuweke sawa mkuu.

AHSANTA.
 
Ni kweli kabisa mkuu.

Mungu anapotoa ugonjwa au tatizo ambalo mtu husika anaona kuwa hili ni tatizo pia Mungu akatoa na njia ya kutatua tatizo au ugonjwa husika.

Kama ulivyosema kuwa kwa mengine anaweza akaona ni sawa tu kwa hali aliyonayo anaweza akabaki nayo tu hali hiyo hamna tatizo. Ila kuna wengine wanaona kabisa kuwa hili ni tatizo na yapaswa kutatuliwa kwa njia moja ama nyingine, hawa ndio nnaotaka kuwasaidia mkuu.

Na pia nashkuru kwa rai yako ya kuwakumbusha kuoa ni jambo kwa hakika na nimefurahi kwa hilo, shukran.

AHSANTA.
Nyie ndio mnao chapiwa una uume mdogo mkeo halidhiki baada ya kutafuta solution unasema mungu ndio kaniumba.... Kumbuka mungu huyo huyo ndio kama mwanadamu huyo huyo akili ya kuitafuta hiyo dawa ya kuongeza hicho kitu. Kumbuka kuna usemi usemao kila tulifanyalo ni kwauwezo wake yeye muumba.
 
Kwa hiyo kama ulipita na kibamia then akaja akazaa akapita mtoto wataka kusema ikirudi inarudi katika size ya kibamia mkuu naomba unijibu kama mtu mzima kuna wengi wanasoma hizi post zako mkuu.
Mkuu kuna mambo anafanyiwa si unaona vibibi haviishi kwa mzazi mara huyu kaja kumkanda huyu kaja kumchua na maji ya moto mwengine anakuja na lake ilimradi siku ikifika sasa unahitaji uwanja utahisi hakuna mabadiliko sana saizibinarudi na utapata furaha kama mwanzo mkuu
 
Hakuna aliyesema kuwa inabaki vilevile laa hasha.

Lakini inarudi kwenye umbo la kibamia baada ya mtoto kupita...?
Ustadh inarudi kama ulivyokuwa na dawa ya kukuza uume na wakinamama wana za kurudisha kubana
Kuna vitu kama shabu ndimu nk wanatumia inarudi kama mpya sema sio bikra mkuu
 
Kuna mtu alitamani kukuza akaagiza dawa matumizi ikawa hivyo kupakaa dawa yenyewe ilikua karafuu ilikua balaa wakuu mi naona mtu aridhike na alicho nacho, mapenzi ni ufundi na ubunifu tu
 
Mkuu kuna mambo anafanyiwa si unaona vibibi haviishi kwa mzazi mara huyu kaja kumkanda huyu kaja kumchua na maji ya moto mwengine anakuja na lake ilimradi siku ikifika sasa unahitaji uwanja utahisi hakuna mabadiliko sana saizibinarudi na utapata furaha kama mwanzo mkuu
Haya ndugu. Karibu.
 
Mimi sio kwamba nataka kuuza hizo dawa mkuu laa hasha.

Waweza kuuliza kwenye duka lolote tu linalouza dawa za kiarabu utapata ndugu yangu.

Shukran.
Nimevutiwa na hekima pamoja na ukarimu wako. Hakika wewe ni doctor wa kweli na umedhihirisha utu uzima. Jf imevamiwa na watoto ambao sijui walikua panya road hata sielewi. Maana unaweza post kitu serious, lakini kitakachochangiwa humo unaweza juta. Big up broh
 
Back
Top Bottom