AL-USTADH
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 406
- 226
- Thread starter
- #541
Kwa siku ukifanya mara moja sio mbaya japo wengine hufanya asubuhi na jioni.zoezi hili kwa siku mara ngapi mda gani je baada ya mda gani unaruusiwa kukojoa baada ya zoezi
Muda wa kufanya ni pale mhusika atakapopata nafasi huru.
Baada ya zoezi waruhusiwa kukojoa pale mkojo utakapokubana na sio kuulazimisha utoke japo yashauriwa kujisaidia kabla ya tiba kuanza.
Karibu Sana.