Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

SectionTwenty

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
675
Reaction score
614
nna demu wangu ambae tunapendana sana kwa hiyo kuhusu mapenzi kwetu hakuna tatizo kabisa.... Tatizo ni kwamba mi nimemzidi miaka minne (4), je wadau hilo sio tatizo kweli!? Maana wakati mwingine huwa najihisi kama mimi ni 'KAFATAKI' vile. Halafu kibaya zaidi yeye bado anasoma halafu mi nshamaliza kitambo so sometime naona kama nampotezea muda wake wa masomo coz siku nyingne anawahi kutoka shule ili aje home kukaa nami... Na akikaa na mimi ni story za mapenzi tu na sio kuhusu masomo yake. Hebu nshaurini wadau....
 
Msaidie aweze kumaliza masomo yake......huo umri ni sawa kabisa hakuna neno........mkazanie masomo afanye vizuri........
 
stpd! Fataki ndiyo! Muache mtoto asome!
 
unampenda? bas mkazanie asome afaulu ili muweze kuw na maisha mazur
 
Kwani ww una miaka mingapi kaka? Yeye yupo kidato cha ngapi? Una mpango gani naye; I mean ndio mkeo mtarajiwa au unapita tuu? Ukishajibu hayo ndio nitakuambia ww ni FATAKI, LIFATAKI au KAFATAKI

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkazanie kwanza apige kitab ili awe na msingi mzuri,wakuu kuna mmoja ananipenda ila nmemzid miaka minne na yupo form four na mimi ni first year.Hapo imekaaje wakuu mi naona ni gap kubwa
 
Mkazanie kwanza apige kitab ili awe na msingi mzuri,wakuu kuna mmoja ananipenda ila nmemzid miaka minne na yupo form four na mimi ni first year.Hapo imekaaje wakuu mi naona ni gap kubwa

Hizo ni washawasha tu,tulia baada ya miaka mitatu au 4 ya chuo ndo utaweza sema is a right person 4u,kwa sasa acha asome afke hata na wewe ulpofka.
 
Back
Top Bottom