Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

yuko O'level, unamzidi miaka 4, ...wewe utakuwa na miaka kama 19 au 20....ushawahi kufikiria kuhusu miaka 30 jela,kama bado anza sasa.
 
Gap la miaka 4 sio tatizo mkuu angekuwa anasoma chuo ningekushauri endelea na mapambano, tatizo inaonekana ni mwanafunzi wa secondary hivyo mkazanie asome amalize vizuri kisha muungalie other issues za maendeleo
 
Sometimes you open a thread and you end up regretting, oh my God forgive me for open this! Why did i open it?
 
Dah!kama yuko o level ni changamoto aisee,...kuna uzi humu umewahi kuletwa unaelezea mtu aliyepigwa miaka 30 jela kwa mazingira kama hayo hayo!o level atakuwa chini ya miaka 18(vinginevyo alichelewa kuanza shule) kwa sheria zetu huyo ni mtoto,nashauri uvue uhusika wa mtu na mpenzi wake angalau kwa sasa!
 
Back
Top Bottom