Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

Tatizo sio mapenzi ila tatizo ni ................

nna demu wangu ambae tunapendana sana kwa hiyo kuhusu mapenzi kwetu hakuna tatizo kabisa.... Tatizo ni kwamba mi nimemzidi miaka minne (4), je wadau hilo sio tatizo kweli!? Maana wakati mwingine huwa najihisi kama mimi ni 'KAFATAKI' vile. Halafu kibaya zaidi yeye bado anasoma halafu mi nshamaliza kitambo so sometime naona kama nampotezea muda wake wa masomo coz siku nyingne anawahi kutoka shule ili aje home kukaa nami... Na akikaa na mimi ni story za mapenzi tu na sio kuhusu masomo yake. Hebu nshaurini wadau....

Kupishana miaka 4 siyo tatizo kabisa, ila tabia ya kutembea na wanafunzi, tena wa O level, hapa ndiyo pana tatizo! Kama walivyosema wadau hapo juu, ni vyema kuwa muungwana kwake kwa kumkazania asome. Kama una nia naye nzuri, ujue ushauri wako mzuri ndiyo utakaomsaidia yeye kupata elimu bora na baadaye kuja kuwa mke mzuri kwako, kielimu, kitabia na kijamii kwa ujumla. Mlinde sasa kwa kumtoa kwenye mawazo ya ngono.

Unaweza kuutumia muda wako kwa kujikita kwenye shughuli za maendeleo zaidi kama hukupata nafasi ya kuendelea chuo. Maana hata kiumri, kama yeye yuko O level na wewe umepishana naye miaka 4, basi na wewe kiumri bado ni mdogo sana. Unatakiwa kufocus kwenye kujenga maisha yako yajayo.
 
Kwani ww una miaka mingapi kaka? Yeye yupo kidato cha ngapi? Una mpango gani naye; I mean ndio mkeo mtarajiwa au unapita tuu? Ukishajibu hayo ndio nitakuambia ww ni FATAKI, LIFATAKI au KAFATAKI

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

miaka yangu siri ila ni under 21.. Yupo kidato cha 3. Mi sina mipango nae ya ndoa coz mda bado sana ila tunapendana sana.
 
nna demu wangu ambae tunapendana sana kwa hiyo kuhusu mapenzi kwetu hakuna tatizo kabisa.... Tatizo ni kwamba mi nimemzidi miaka minne (4), je wadau hilo sio tatizo kweli!? Maana wakati mwingine huwa najihisi kama mimi ni 'KAFATAKI' vile. Halafu kibaya zaidi yeye bado anasoma halafu mi nshamaliza kitambo so sometime naona kama nampotezea muda wake wa masomo coz siku nyingne anawahi kutoka shule ili aje home kukaa nami... Na akikaa na mimi ni story za mapenzi tu na sio kuhusu masomo yake. Hebu nshaurini wadau....

umri si tatizo, tatizo mwenzio ni mwanafunzi
 
so unanshaurije?

Asee mwache mtoto wa watu asome yan unawaza kugegeda tu hata mtoto wa O level, tumia mdomo kutongozea sio kula tu.. chukua size yako kwa sasa mbona wapo wengi mtaani
 
miaka yangu siri ila ni under 21.. Yupo kidato cha 3. Mi sina mipango nae ya ndoa coz mda bado sana ila tunapendana sana.

Under 21 dogo,mnakimbiliaga nini jamani huko kwenye huo ulimwengu watu wanalia kila siku.
Ikiwa wewe upo chini ya miaka 21 na mwenzio umempita 4 miaka(16),kashajua kukeshea mtalimbo kuna shule hapo?
Nakushaur usimwache kwa sasa ila anapokuja kwako msisitize kusoma na stop story za mapenz.....!
 
miaka yangu siri ila ni under 21.. Yupo kidato cha 3. Mi sina mipango nae ya ndoa coz mda bado sana ila tunapendana sana.
Mmmmh umemaliza shule kwa miaka mingapi? na wewe duh under 21.. nadhani ni form four leaver wewe lakini kuwa nakini huyo demu atakupeleka segerea, utakuja na thread nyingine hapa, nimempa mimba mtoto wa kidato cha nne nifanyaje? hao watoto wana matatizo we endelea kujidanganya anakupenda sana
 
Under 21 dogo,mnakimbiliaga nini jamani huko kwenye huo ulimwengu watu wanalia kila siku.
Ikiwa wewe upo chini ya miaka 21 na mwenzio umempita 4 miaka(16),kashajua kukeshea mtalimbo kuna shule hapo?
Nakushaur usimwache kwa sasa ila anapokuja kwako msisitize kusoma na stop story za mapenz.....!

kati ya wote walionshaur we umenambia kitu cha maana sana.
 
Mmmmh umemaliza shule kwa miaka mingapi? na wewe duh under 21.. nadhani ni form four leaver wewe lakini kuwa nakini huyo demu atakupeleka segerea, utakuja na thread nyingine hapa, nimempa mimba mtoto wa kidato cha nne nifanyaje? hao watoto wana matatizo we endelea kujidanganya anakupenda sana

mi na yeye tunajuana kwa muda mrefu sana.. Kipindi yupo mdogo sana mi ndo nlikua namfundisha kusoma na kuandika na alikua ananiamkia kabisa. Kadri tulivyokua tunakua ndo tulizidi kupendana km mtu na lover wake na co kaka na dada tena.
So najua kuwa ananipenda sana wala cjidanganyi.
 
Na akikaa na mimi ni story za mapenzi tu na sio kuhusu masomo yake.

watu wengine bana! sasa azungumze na wewe mambo ya masomo kwani we ni mwalimu? kaja kwako kafata mapenz na ndicho mnachopaswa kuzungumzia, hizo bla bla za masomo za nini tena? unataka kumlipia ada? kwa hiyo unataka tukushauri nini? Usije ukamuumiza mtoto wa watu kwa kisingizio cha masomo. Kama unawaza kumkimbia tafuta sababu nyingine.
 
inaweza ikawa vizur au vibaya. ilihali we mwenyewe ushajua huyo ni mwanafunz jitahidi kumsaidia asome
 
wee mgegede tuu akifeli hamna tatizo atakiwa tayari ana skill ya kukatiza mauno so ataenda uza.
 
We endelea tu kumutomba.Akifeli serikali ipo,itamstandardize
 
Back
Top Bottom