msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
Hiki kitu hiki ndicho chanzo cha ubabe wa CCM.
Sheria nyingi zinahitaji at least theluthi mbili. Hii ni sawa na wabunge 176.
UKAWA tungejitahidi kupata angalau wabunge 88.
Tutarajie wabunge wa upinzani kuendelea kufukuzwa bungeni na zile 'ndiyooooooo' za CCM.
UKAWA inabidi tujiimarishe huku chini kwenye wabunge. Bunge ndilo kila kitu!
Nimesikitishwa sana na hili.
Sheria nyingi zinahitaji at least theluthi mbili. Hii ni sawa na wabunge 176.
UKAWA tungejitahidi kupata angalau wabunge 88.
Tutarajie wabunge wa upinzani kuendelea kufukuzwa bungeni na zile 'ndiyooooooo' za CCM.
UKAWA inabidi tujiimarishe huku chini kwenye wabunge. Bunge ndilo kila kitu!
Nimesikitishwa sana na hili.